johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,119
Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Amos Makalla, ameitaka LATRA imthibitishie ndani ya siku 14 kama stendi binafsi za mabasi ya mikoani ni halali. Makalla ametoa agizo hilo kufuatia malalamiko ya wafanyabiashara ndani ya Stendi Kuu ya Magufuli kulalamika kuwa stendi hiyo haina abiria.
Hata hivyo msemaji wa LATRA amesema stendi binafsi siyo halali lakini zina vibali RC Makalla alichachamaa na kumwambia asimchonganishe na waziri!
Chanzo: ITV habari
Hata hivyo msemaji wa LATRA amesema stendi binafsi siyo halali lakini zina vibali RC Makalla alichachamaa na kumwambia asimchonganishe na waziri!
Chanzo: ITV habari