Latest: Asha-Rose Migiro the new UN Deputy General Secretary

Mama Migiro,

Aliondoka JKN Airport on time, wasaidizi wake walikuwa tayari wamewekwa kwenye business class kwa paper ticket ambazo zilikuwa zimetumwa in advance na UN kupitia ubalozi wetu NY,

Ndege iliondoka on time nilikuwepo Airport, na njiani ilipata matatizo ikiwa angani ikabidi irudi, na kuondoka tena kama ilivyopangwa na shirika hilo la ndege la KLM, pia katika ndege hiyo alikuwemo balozi wetu huko UN, Dr. Mahiga, aliyekuwa anarejea huko NY baada ya kuitwa ghafla na rais, na kutumwa Nairobi kwa dharura,

Ndege iliwasili NY on time saa 11.20 jioni, na mama huyu ataondoka Ny Jummatatu kurudi nyumbani, bongo kufungasha mizigo,

Hiii ndio authority truth ya safari nzima ya mama Migiro, anayesema vingine ni redio ya mbao, tunamtakia mafanikio mama Migiro na kazi yake mpya, na tutajitokeza kwa wingi kumpolkea nyumbani atakaporejea Jummanne!
 
Hapna mzee wangu nilisema nitakuwa narukia at anytime watu hapa wanapotaka kupotosha wengine kwa makusudi, nia ni kulinda hadhi ya forum at any-cost, nilifahamishwa jana kuwa kuna hii habari inahitaji ufafanuzi otherwise, bado ninaumwa mgongo niko kwenye bedrest,

Nafasi ya Mama Migiro, sasa hivi ni out of our hands yaani wabongo, na hakuna chochote cha gain kwa kumtumpia cheap mawe, wenzetu wamekasirika sana kwa kuchaguliwa kwake, huyu sio balozi msaidizi wa London, rkodi yake kikazi na kimasomo ni very clear, huyu mama aliweka rekodi ambayo imevunjwa juzi tu mama mwingine ambaye amechukuliwa na foreign ministry, yaani alipata GPA 4.5 alipomaliza Degreee ya kwanza, wewe uliwahi kusikia wapi hiyo?

Kazi yake level ya uwaziri toka akiwa kina mama haina mikwaruzo na hujawahi kumsikia amehusika na usanii wa hela za serikali, yaani za walipa kodi kama kina flani! sasa jazba ya nini? Wewe Mwanasiasa ndugu yangu sasa unaanza kugeuka kuwa bendera ya ubalozi wa London bro, sielewi yaliyokusibu ila something happened sio bure, ulikuwa sauti ya reasonable to sasa unreasonable, maana sasa unatetea mabalozi wasioteuliwa na rais, lakini unataka kumpiga mawe mama aliyechaguliwa na dunia, sio tabia njema ndugu yangu, mambo mengine ni kukubali yaishe tu! hicho kikorosho hakitampata huyu mama kitakurudia mwenyewe, uchawi hauvuki bahari ndugu yangu so is roho mbaya!

Mzee Lunyungu, hehisma yako mkuuuu, haya ngoja nirudi kwenye wodi yangu!

Nilikuja kusahihisha tu kidogo! na Mama Migiro Oyeeeeee tena saaaaaaaaaaafi sana!
 
Mzee ES ,

asante sana kwa mchango wako ,Ebu tuelezee habari za jikoni kuhusu hii rada kwani kuna watu wanasema mhindi aliyenunua (Liason) ndiyo huyo huyo aliyenunua na jeti ya Rais ?

Hebu tupe habari za ndani manake waswahili wanasema mpanda mlima huona mbali .
 
Hapana ndugu Mzee ES mimi sina kinyongo na uteuzi wa huyu mama. Utakumbuka mimi ni miongoni mwa watu waliompongeza mapema sana na nikakemea tabia ya CCM kuchukua credit kwa uteuzi wake. Ninamjua vizuri sana huyu dada maana nimefanya naye kazi za kitaaluma na kisiasa kabla ya mimi kutoka CCM. Siwezi kuwa miongoni mwa watu wa kukerwa na uteuzi wake hata kidogo maana sina shaka na sifa alizonazo hasa kwa kazi aliyopewa.

Ninachokataa ni hii tabia iliyoibuka katika forum hii wewe ukiwa kinara wao, ya kutueleza every personal detail za huyu mama. Yaani hadi amepanda gari gani, kalala hotel gani, aliongea nini kwenye ndege. Ninajiuliza how long shall we go on with her personal life? Sasa kama hii inaonesha ni kuwa na kinyongo, sina neno.

Kuna mambo mengi katika sifa alizopewa mama Migiro yamekolezwa mno. Kwa mfano, ukisoma academic profile yake, inavyoelezwa ni kana kwamba publication record yake ni ya kutisha. Kwa standard za pale mlimani, publications zake ni za kawaida kwa kiasi cha senior lecturer hiyo aliyokuwa nayo. Kuhusu yeye kupata first class, ni kweli kwamba wakati wa miaka akisoma yeye this was a big issue. Lakini ukweli ni kwamba sasa hivi pale Mlimani kuna vijana wa kutosha wanaopata first class across the board. Hata engineering ambapo ilikuwa inaonekeana kuwa ndiyo course ngumu sana, vijana wanatundika hizo first class zaidi ya hiyo GPA 4.5. Kwa taarifa yake hiyo GPA ya 4.5 ni first class ya point za mwanzo kabisa na ina kwenda hadi 5 points, at least kwa standards za pale mlimani. Kwa hiyo swala la kutokuvunjwa record yake ni anachronistic!

Of course haya yote sio muhimu maana she is well above the minimum requirements for the post she has been appointed to. Na ninashangaa wakati mwingine kwa nini watu wapo busy kujaribu kumuongezea hata sifa zile ambazo sio za lazima. May be tuna haki sisi watanzania kukoleza sifa ili tuzidi tu-justify zaidi uteuzi wake, but I am not sure if this is important!.

Sasa kusema ukweli kama huu haina maana kwamba mtu ana kinyongo.

Kuhusu wafanyakazi wa ubalozi, mimi sio mtu wa ku-generalise na wala sio mnyimi wa fadhila. Nime-interact na huyo Radhia mara kadhaa nikiwa na shida pale ubalozini,kwa standard za wafanyakazi wa serikali yetu, Radhia ni miongoni mwa wafanyakazi bora kabisa pale ubalozini. Nikilinganisha na wafanyakazi wa balozi ambazo nimewahi kupita za Washington DC na Brussels, bado naamini, pamoja na mapungufu mengi walio nayo, wafanyakazi wa ubalozi wa sasa wa London wanajitahidi.

Kwa mfano simu ya ubalozi huwa haipokelewi kwa sababu wanazojua wao, lakini huyu dada katoa simu yake ya mkononi kwa watanzania wote waliopo UK. Na ukipiga anapokea na anajaribu kutatua shida uliyo nayo ya kikazi. Sasa ndio maana nasema kwa standard za watendaji wa serikali yetu huyu anajitahidi. Of course, sio up to the required standard, but to the CCM government's standard, which is usually very poor and disgusting.

Sitaki kujiingiza kwenye malumbano ya kitoto kuhusu cheo cha balozi. Nafikiri maelezo yaliyotolewa yalinitosheleza.

Sasa Mzee ES mtu akitofautiana na mawazo yako sio lazima kwamba amegeuka. Ni mtazamo tu. Ugua pole, tunakutakia speedy recovery urudi hapa. Kila la heri!
 
Mwanasiasa,

Nadhani katika suala la first class kinachosifiwa ni kuwa Dr. Migiro ameshikilia rekodi kwa miaka mingi, kama sio mpaka sasa .. kuwa mwanamke wa kwanza na pekee aliyepata first class katika faculty of law pale UDSM... yaani sio across the board. Vijana wanazitundika kila siku.
 
(1). Hapana hakuna hata wakati mmoja mimi na wewe tuliwahi kuwa na mawazo yanayofanana, kwa hiyo take this back kuhusu kutofautiana mawazo, wewe ninafahamu ndiye mpinzani wa kweli katika hii forum mpaka majuzi ulipoanza kubadilika!

(2). Magazeti maarufu duniani hutuambia mpaka boots alizovaaa Bush, zimetengenezwa wapi, na hata kuzitoa zikiwa na seal ya serikali ya US, sasa tatizo liko wapi tukisema ukweli kuwa Mama Migiro, ana magari lenye luninga na kwamba alipokelewa na FBI, na magari yaliruhusiwa kuingia uwanjani kitu ambacho si cha kawaida? kwa nini tusiseme? Bongo ni kiongozi gani mwenye gari lenye luninga? Kama kitanda atakacholalia Mama Migiro akiwa UN ni tofauti na vya kawaida kwa nini isisemwe? au wakisema wazungu ndio sawa ila tukisema sisi wabongo ndio noma kwako?

(3). Uwezo wa kimasomo hapo mlimani kwa upande wa kina mama, bado huyu mama alikuwa ameweka rekodi ambayo ilikuja kuvunjwa na huyu mwana mama aliyechukuliwa na foreign juzi, je kuna ubaya gani kuuusema huo ukweli?

(4). Kuhusu London, sisi yetu macho tunawaachieni wenyewe, maana kila siku tunaona habari tofauti hapa, wewe unausifia huo ubalozi, na wengine wanaulaani hasa kuhusu mkutano wa rais juzi, sasa kati yenu sijui ni nanni anayesema ukweli ila mtajijjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjj!

Mwacheni mama akafanye kazi tuache gele!

Mzee Rufiji,

Heshima yako mkuuuuu, hayo mambo mimi yamenichosha kabisaa ndugu yangu sina hamu, maana katika kuyafuatilia sana nimegundua kuwa hata kampuni ya Dowans ni ya RA, pamoja na kwamba inatokea huko nje kumbe mkono wa RA unafika mpaka huko nje, hayo mengine nyeti labda nikuwekee kwenye PM ndugu yangu!

Mzeee adui Kulikoni,

Ahsante kwa kurekebisha zaidi, kuhsu ukweli wa uwezo wa kielimu wa mama!
 
(1). Hapana hakuna hata wakati mmoja mimi na wewe tuliwahi kuwa na mawazo yanayofanana, kwa hiyo take this back kuhusu kutofautiana mawazo, wewe ninafahamu ndiye mpinzani wa kweli katika hii forum mpaka majuzi ulipoanza kubadilika!

Mimi nitakuwa wa mwisho kubadilika ndugu yangu. Nimekubali bwana, endelea kutuletea hizo nyeti za huyu dada.
 
Africa: Why Does Kenya Always Miss the UN Boat?

The Nation (Nairobi)
OPINION
January 15, 2007
Posted to the web January 15, 2007
Rasna Warah
Nairobi

The appointment of Asha-Rose Migiro as United Nations Deputy Secretary-General is not only a coup for Tanzania, but also for Africa as a whole - as well as for the many women who are still under-represented in top UN managerial posts.

But the appointment should leave a bittersweet taste in the mouth of Kenyan diplomats who have yet to be appointed to any significant post within this global body.

As far as I know, no Kenyan heads a UN agency or forms part of the new UN Secretary-General Ban Ki-Moon's "cabinet". Yet Tanzania has two women at high level posts within this global body - my former boss, Mrs Anna Tibaijuka, who heads the United Nations Office in Nairobi, and now Ms. Migiro, who effectively becomes the highest ranking female within the entire United Nations system.

It is not due to lack of expertise or skill that Kenya loses out on securing top UN appointments. Kenya has a large pool of highly-qualified diplomats who have made a mark in inter-governmental negotiations.

Within the UN itself, there are many Kenyans in middle-level managerial or technical posts, though few have managed to rise to the top managerial ranks (with the exception of Salim Lone, now retired, who rose to become director of the UN's News and Media Division, with no support from the Kenya Government).
It is not lack of clout either. Kenya is host to the headquarters of two global UN agencies and dozens of UN regional and country offices. As the host country, it carries certain privileges and responsibilities which could translate into decision-making authority, which it currently doesn't seem to exercise.

Why? One reason could be that the Kenya Government simply does not lobby effectively on behalf of its own candidates. Even though Kenya claims to be an active and vocal member of UN decision-making bodies, such as the General Assembly, it has proved to an ineffective advocate for the appointment and promotion of Kenyans to this international organisation.
Another possible reason could be that Kenya has attained a "pariah" status within the international community due to its reputation of being among the most corrupt countries in Africa, which adversely affects its chances of gaining a top UN post.

Although all UN staff members have to sign a code of conduct that prohibits them from seeking or accepting instructions from any government (even their own) and to discharge their functions and regulate their conduct with only the interests of the organisation in mind, realpolitik dictates that this rule be flouted or ignored when it comes to what are known as "political appointments", that serve the interests of either a lobby group (such as a regional bloc) within the UN or the interests of a major contributor to the UN budget.
This explains why, for instance, a nod from the United States or members of the European Union (among the largest contributors to the UN budget) can make or break a career in the UN.

The bids and the lobbying get more intense the higher the level of the post. It is therefore hard to imagine that Ms. Migiro's appointment happened without the active endorsement of President Kikwete and his entire Cabinet, and without the support of key donor countries.

I am sure that the Kenya Government is fully aware that this is how the UN system of appointments and promotions operates, yet there are few, if any, attempts by Kenya's ambassadors to the UN to take an interest in the career development of their own nationals or to push for the endorsement of Kenyan candidates for top positions within this world body.
In fact, not only do these ambassadors not endorse their own nationals, they tend to ignore them altogether.
In the 10 years that I worked for the UN, for instance, no Kenyan ambassador to the UN sent me an invitation to an official function; yet I received several invitations from other embassies, which routinely kept track of their nationals within the UN system, and at times, also lobbied on their behalf.

This lack of interest in seeing its nationals rise within the UN system is perhaps a reflection of the partisan politics in this country. When Kenya does put forward a candidate, the candidacy is probably based on tribe first, citizenship and qualifications second. This tendency, which will be the ruin of this country, has also cost Kenya a prominent standing in the international community.
Ms Warah is a Nairobi-based writer and journalist

MAMBO YAKIWA MAZURI LAZIMA SISI WATANZANIA TUWAELEZE WENZETU WABONGO NA MAJIRANI WAFAHAMU KWAMBA TUNAJUA WANAVYOSEMA. FIKIRIA KAMA HIKI CHEO KINGEKWENDA KWA RAIA WA KENYA AU UGANDA just imagining!
 
Mzeee Duaaa,

Lovely!

Hiyo posting inajisema yenyewe kuhusu wabongo,umoja na msikamano wetu pamoja na matatizo yetu kibao, lakini chenga twa-wala!
 
Kulikuwa na Press Conference imeandaliwa kule UN ili madame Asha aseme mbona ilikuwa cancelled na bwana Ban kunani ?Kuna mwenye nyeti atupe ?
 
Lunyungu

ANGALIA HAPO JUU MSEMAJI WA SECRETARY GENERAL AMESEMA ATAKUTANA NA PRESS IN FEBRUARY AKIANZA KAZI RASMI. Hakuna speed za kijinga.
 
So far sijapata malalamiko yoyote ya Bi Radhia na nadhani kuwa ile namba yeka alioitoa anapatikana kama kawaida

kwani kuna malalamiko yoyote?
 
Lunyungu,
hakuna press conference ya Dr.Migiro iliyokuwa cancelled. msemaji wa SG Ban, ameeleza kwamba Dr.Migiro atapenda kuzungumza na waandishi wa habari mara atakapoanza kazi yake RASMI. Kulingana na maelezo ya msemaji wa SG Ban, mkutano wa kwanza wa Dr.Migiro na waandishi wa habari utakuwa mwanzoni mwa mwezi februari-atakapoanza kazi rasmi.

habari hizi nimezipata toka kwenye website ya msemaji wa katibu mkuu wa un. nimesoma press conferences zote tangu uteuzi wa Dr.Migiro, na hakuna mahali nilipoona kwamba alipangiwa kuzungumza na waandishi wa habari.

Tangu afike New York, Dr.Migiro amekuwa akikutana na watumishi wa ofisi yake. zaidi amekuwa na mikutano ya kujadili mapana na marefu ya majukumu yake kama Naibu katibu mkuu UN.
 
Nauliza utabiri wa Bishop mlalahoi.

alisema atakayechukua nafasi ya Migiro ni mwanamke wa JK na wamezaa nae.
na atakuwa muislam.

jee Membe ni mwanamke? na amezaa na JK?
NDUGU yetu acha udini wewe msubiri Mwanadosya 2010 tena naona mvi zinamzidi tu sijui kama atakuwa na nguvu 2010.
 
Viatu vimekuwa fit kuliko hata MB jinsi vilivyokuwa vinamfit. Press conference yake mwezi wa pili subiri mambo wala usiwe na wasiwasi.
 
Kuna hii habari ilitolewa Naijeria kuhusu nafasi ya Naibu Katibu Mkuu wa UN, ikidai kuwa Dada Migiro hakuwa chaguo la kwanza...na kwamba nafasi hiyo ilikuwa apewe Mnaijeria...

Report Links Obasanjo with Blocking Okonjo-Iweala
• Presidency denies allegation
By Paul Ohia with agency reports, 01.19.2007


Growing speculations in diplomatic quarters that the inability of former Finance/Foreign Affairs Minister, Dr. Ngozi Okonjo-Iweala, to bag the United Nations number two job was instigated from home got further credibility on Monday when an Australian newspaper published that President Olusegun Obasanjo may have scuttled the bid at the last minute.

According to a report on theaustralian.news.com.au written from New York by David Nason, the new UN Secretary-General, Mr. Ban Ki-moon, was set to announce the name of Okonjo-Iweala as the Deputy Secretary-General but could not secure the requisite endorsement from Obasanjo.
This, according to the report, made the UN boss to look for an easy alternative, a person that would accept the job at short notice. That was how Asha-Rose Migiro, described as "a novice foreign minister in Tanzania for less than a year", came in as a ready substitute.
"The favourite on most lists was former Nigerian Finance and Foreign Minister, Ngozi Okonjo-Iweala, a highly regarded Harvard-educated economist with senior-level experience at the World Bank.
"One story now circulating is that Ban wanted Okonjo-Iweala but at the last minute, Nigerian President Olusegun Obasanjo withdrew his support.
"Having already advised the heads of UN regional groups of his intention to appoint an African woman at the end of his first week - briefing papers to this effect were widely circulated - Ban needed to save face.
"So he looked for an African woman who would take the job at short notice. Migiro fitted the bill."
When THISDAY sought the comments of the Senior Special Assistant on Public Affairs to the President, Mrs. Remi Oyo, yesterday, she denied that Obasanjo blocked Okonjo-Iweala.
Oyo said the story could simply not be true, stating emphatically that president Obasanjo did not and could not have blocked Okonjo-Iweala from the job.
Excerpts from the story titled "UN chief 'hits the ground stumbling'" reads:
One of the unlucky features of Ban Ki-moon's first two weeks as UN Secretary-General has been the absence of a traditional media honeymoon period. Instead of some leeway to find his feet, the veteran South Korean diplomat has been on the receiving end almost from day one.
This should not have surprised Ban. The general expectation at UN headquarters in New York was that perceptions of mismanagement, corruption, lack of accountability and missed reform opportunities - the legacy of KofiAnnan's final years as secretary-general - would carry over and deprive Ban of a scepticism-free passage into his new job.
But even allowing for this handicap, Ban's performance in his first two weeks has raised an enormous level of disquiet. "Hit the ground stumbling," was how one insider grimly put it last week. "It's early days, I know, but if I was working in his office right now, I'd be panicking."
Driving such criticisms have been inept media performances and baffling senior appointments that have raised doubts about Ban's ability to lift the UN from its organisational and cultural rut.
Ban came to the UN promising a lot. He was going to give the Secretariat new direction, restore the trust between it and the 192 member nations and making ethics and transparency UN bywords.
But two weeks in, people are beginning to ask if the UN, in stumping for the man known in Seoul as the "slippery eel", has bought a lemon. Nothing his fanned these flames more than Ban's decision to appoint Tanzania's novice foreign minister, Asha-Rose Migiro, as his deputy.
The move has shocked seasoned UN watchers and Ban's feeble attempts to end the controversy last week have only made things worse. Like Annan, who created the deputy's position in 1998 and gave it to former Canadian defence minister, Louise Frechette, Ban wanted a woman for the job. He also hoped to select an African.
The favourite on most lists was former Nigerian finance and foreign minister Ngozi Okonjo-Iweala, a highly regarded Harvard-educated economist withsenior-level experience at the World Bank. Migiro, foreign minister in Tanzania for less than a year, was not considered a contender.
That changed on January 5 when Migiro, chairing a meeting in Lesotho's capital, Maseru, received a phone call from Tanzanian President Kakaya Kikwete. The Secretary-General, Kikwete said, had just called to offer her the deputy's job. The condition was that Migiro accept immediately because Ban wanted to announce the appointment in New York that same day.
Shortly after, Ban reached Migiro on the phone himself. As one East African newspaper put it, she accepted the offer "almost in disbelief".
In New York the reaction was also disbelief. Migiro was an unknown from one of the poorest countries in the world. Before her surprise elevation to foreign minister, her ministerial experience had been limited to a junior social affairs portfolio.
Even her seat in Tanzania's parliament was questionable - being reserved solely for women.
And those who did know Migiro said she was shy and retiring, polar opposite character traits to her predecessor, Briton Mark Malloch Brown. Most importantly, Migiro had little background in management, yet Ban was entrusting her with one of the most difficult management jobs imaginable: the day-to-day oversight of the entire weird and wonderful UN bureaucracy.
Once it emerged that Migiro had won the job without any formal discussion about her role and had last year publicly supported Iran's nuclear ambitions, and expressed hope that Tanzanian uranium might one day feed Tehran's reactors, the battle was on.
For the best part of a week, Ban's official spokesperson was under siege asthe UN press corp demanded moreinformation about the Migiro selection process.
Last Thursday, when Ban held his first official media conference, he was able to answer for himself. "There was some report about Dr Migiro, whom I have chosen as the Deputy Secretary-General," Ban began.
"I have worked with her closely as a counterpart, each as foreign minister of our respective countries.
"Coincidentally, I was flying together with her on an airplane from a certain point to Tanzania while I was going to visit Tanzania.
"We were sitting together. We spent at least six hours talking together, knowing each other. I have engaged in many more discussions with her, and I have known her."
It was neither a full nor credible explanation and the impression left was of someone reluctant to be open and honest. It was also at odds with Migiro's claims, reported in Africa, that she met Ban only once, at a reception in Seoul, prior to being offered the job.
Nowhere has Migiro mentioned an intimate six-hour flight. One story now circulating is that Ban wanted Okonjo-Iweala but at the last minute Nigerian President Olusegun Obasanjo withdrew his support.
Having already advised the heads of UN regional groups of his intention to appoint an African woman at the end of his first week - briefing papers to this effect were widely circulated - Ban needed to save face.
So he looked for an African woman who would take the job at short notice. Migiro fitted the bill.
The $US18 million ($23.1million) in aid South Korea gave Tanzania last year - Korean aid had totalled just $US4.7million between 1991-2003 - helped convince Kikwete to give up his foreign minister.
How much truth is in this story will be clearer over time, but the mere fact that it is circulating is damaging to Ban and Migiro.
The Tanzanian is due to arrive in New York later today but, remarkably, Ban's office says there won't be any media appearances before she officially begins her duties next month.
 
Back
Top Bottom