Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii habari imenifanya nifikirie kuingia kwenye sekta ya viwanda. JPM is so serious kwenye hii sera ya viwanda. Imagine stakeholders watakavyo pokea hii news. Uzalishaji na uwekezaji utaongezeka maradufu. Ngoja nikakope nifungue kiwanda na mimi .
Sisi nasi tutaweka tax kwa Tanzanian beggars. Ndio beggar aingie Kenya, tutaongeza import tariff by 1,000 percent.😁 hiyo inaitwa twanga kote kote
siku nyingine jiepushe kupiga porojo unapoana wanaume wapo serious kujadili masuala mazito ya nchi yao.Sisi nasi tutaweka tax kwa Tanzanian beggars. Ndio beggar aingie Kenya, tutaongeza import tariff by 1,000 percent.
The only benefit for Kenyans is that Brookside watauza hio maziwa kwa local Kenyan market thus causing an oversupply of milk leading to a reduction in price, and that will benefit the 'local mwananchi'.Hahaha Funga Nut kabisa JPM .
Na wakulima wa. maziwa Tz Mfanye hima..This is a great opportunity
Naona hio imekugusa hadi kwa firigisisiku jingine jiepushe kupiga porojo unapoana wanaume wapo serious kujadili masuala mazito ya nchi yao.
Una misumari ya moto
Kenyatta,kumb si mzalendoThe only benefit for Kenyans is that Brookside watauza hio maziwa kwa local Kenyan market thus causing an oversupply of milk leading to a reduction in price, and that will benefit the 'local mwananchi'.
Brookside is already using your Taxpayer Money to feed school children with free milk. There is no benefit to mwananchi, except slaveryThe only benefit for Kenyans is that Brookside watauza hio maziwa kwa local Kenyan market thus causing an oversupply of milk leading to a reduction in price, and that will benefit the 'local mwananchi'.
So feeding our own children using the tax payers money to you is a loss?. Can you even listen to yourself!...Brookside is already using your Taxpayer Money to feed school children with free milk. There is no benefit to mwananchi, except slavery
Oversupply itamaanisha reduction in production ili supply ikutane na demand (graphicaly speaking). Inorder to achieve this inputs lazima zipunguzwe e.g raw milk na ajira zikatwe ili kupunguza running costs ambayo itakua kubwa inrelation to revenue loss itakayo tokana na decline in sales kwenye soko kubwa la Tanzania. So in medium term ajira na soko la wafugaji wakenya lita suffer Magufuli effect . Trust me the negative effect of this scenario will outweight any positive impact you think will come out this.The only benefit for Kenyans is that Brookside watauza hio maziwa kwa local Kenyan market thus causing an oversupply of milk leading to a reduction in price, and that will benefit the 'local mwananchi'.
lord mutai ni mkenya mwenzenu.Eti dictator Magufuli running Tanzania like a ranch in Morogoro. Nani mwingine ameona hayo maneno kwenye hiyo tweet? Kuna watu hawajipendi kabisaaa.
Its Not the work of the Government to feed you or your childeren. Taxes are for development for creation of Jobs, people should feed themselves..Unless Jubilee is now deep in communisimSo feeding our own children using the tax payers money to you is a loss?. Can you even listen to yourself!...
Kwahivyo mikono ya mfalme haiwezi mfikia?lord mutai ni mkenya mwenzenu.