Last seen ya Whatsapp ni majanga

Last seen ya Whatsapp ni majanga

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
33,663
Reaction score
40,268
1390910363919.jpg 1390910387088.jpg
 
Dah! Hata mimi niliku najiandaa kumwaga ngai wangu kwa mawazo kama hayo. Jana kila nikimtumia message haijibiwi lakini namuona yupo on line. Kuna kitu nimejifunza hapo.
 
Hili ni janga hapa yupo baba yenu mdogo ameniaga saa 07.29
................... good day bebi...........
Hapa nilipo yupo on line
Kweli ni lazima baadae tuambizane huu muda mwingine anakuwaga
akichati na akina nani wengine.

Whatsapp ni noma.
 
sasa kosa ninini? si anaangalia What's Up??? hahahhaaa na angekuomba ku-share your current location ingekuwaje??
 
Ha ha ha ha haah! kumbe hili tatizo linatukumba watu wengi, nikitumiwa sms kwenye whatsapp nisipojibu tu mda huo lazima niwe na kesi, eti mbona nipo online na sijajibu sms yake nilikuwa nachat na nani!!?
 
Hili ni janga hapa yupo baba yenu mdogo ameniaga saa 07.29
................... good day bebi...........
Hapa nilipo yupo on line
Kweli ni lazima baadae tuambizane huu muda mwingine anakuwaga
akichati na akina nani wengine.

Whatsapp ni noma.

Kweli ni majanga mda mwingine unakuta anakuwa online ila hafanyi kitu chochote
 
Mimi naipenda sana hii kitu last seen at...itatufundisha uhuru wa mtu kuwasiliana kwa wakati anaoutaka. Nilisha piga marufuku kuulizwa mbona uko online lakini hauchat na mimi....kwani ku chat lazima. Kuna wkt mnachati hadi story kwishney lakini mtu bado anatoa mimachooooooo tuuuuuu.
 
Hii hata viber ni hivyohivyo. Unaona mtu yupo online muda wote kumbe sivyo.
 
Hili ni janga hapa yupo baba yenu mdogo ameniaga saa 07.29
................... good day bebi...........
Hapa nilipo yupo on line
Kweli ni lazima baadae tuambizane huu muda mwingine anakuwaga
akichati na akina nani wengine.

Whatsapp ni noma.
chama nae anatumia whatsapp shemeji Yangu namuonaga too local.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaa
Haaaaa
Unataka kusema kule gongolamboto hakuna hayo makitu.

Kule ni vigodoro, mnanda, mdundiko, na taarabu... ila yeye sasa ndo atakuwa catalyst ya mabadiliko. Ngoja nipm kumpa hongera
 
Wala si majanga.tatizo tumezoea uongo sana na kutojali...

Ni kweli ndugu...tatizo watu wengi wamekaa kiuongo uongo tuuuuu na mapenz yamekuwa ya uongo ndio maana....mtu anataka asionekane kwa mpenz wake kile anachokifanya ule mda kwenye simu yake kisa kamuongopea ana kazi anafanya saa ile ili achat na wengne anaowajua yeye....@#uongo na cheating vimezidi#
 
kwangu utashika adabu, ninavyobishana kwenye makundi ya soka whattsap, utajua nachat na vimwana. itakula kwako
 
nimeona picha za mama nanihii Badoo nikajiuliza maswali mengi mno,kilichonitisha ni kuwa picha zenyewe sijawahi kuziona hata kwenye simu yake!
 
inaboa,wakati mwingine kuna video unacheki au pics. au unachat huku unamengine ila mtu anajua unachat mi huwa najisahau tuu nakuta mimsg hadi nakasirika yani.
 
Download "whatsapp private" from google play,run it and follow instructions,
you will be free from " last seen at ...."
 
mkuu tupo kwenye ulimwengu wa Whatsapp+ ambayo ina feature ya kuhide last seen. nenda tech kule ukachukue
 
Back
Top Bottom