BUJIBUJI: Jizzy1 vipi shwari? Hatuonani mzee vp mishe?
Mnatunyima nini juzi nimekuona kwa mbali shavu dodo full kipupwe, sie tupo bhana shida tu, halafu misiba mingi, shem wako Mamdenyi kajifungua ghafla sasa kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo itatoka next week hapa nimekwama, naweza pata ka laki ka karibu hapo ntarudisha mwisho wa mwezi.
Heshima kwako mkuu Bujibuji
Hiyo ilikuwa last month hadi leo 4th oct hujarudisha kilo yangu, Fanya unitumie jion mkuu, wife wangu kajifungua ghafla pia
Cc. Mr Rocky, mimi49, Kongosho
Mnatunyima nini juzi nimekuona kwa mbali shavu dodo full kipupwe, sie tupo bhana shida tu, halafu misiba mingi, shem wako Mamdenyi kajifungua ghafla sasa kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo itatoka next week hapa nimekwama, naweza pata ka laki ka karibu hapo ntarudisha mwisho wa mwezi.
Heshima kwako mkuu Bujibuji
Hiyo ilikuwa last month hadi leo 4th oct hujarudisha kilo yangu, Fanya unitumie jion mkuu, wife wangu kajifungua ghafla pia
Cc. Mr Rocky, mimi49, Kongosho