Tofauti kati ya ukopaji mzungu na mswahili

Tofauti kati ya ukopaji mzungu na mswahili

NancyM

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
314
Reaction score
40
Tofaut ya Ukopaji Mzungu na Mswahili.
Mzungu: Hi bro, I need $100, wil pay u back on Monday.
Mswahil: Kaka vp, shwari,vp mishe, mnatunyima nn,shavu dodo full kipupwe, sie tupo bwn, shida tu, afu misiba mingi tu,wife nae kajifungua ghafla, sasa kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo, wanasema itatoka next week, hapa nimekwama, naweza pata ka laki ka karbu hapo ntarudisha mwsho wa mwezi...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Tofaut ya Ukopaji Mzungu na Mswahili.
Mzungu: Hi bro, I need $100, wil pay u back on Monday.
Mswahil: Kaka vp, shwari,vp mishe, mnatunyima nn,shavu dodo full kipupwe, sie tupo bwn, shida tu, afu misiba mingi tu,wife nae kajifungua ghafla, sasa kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo, wanasema itatoka next week, hapa nimekwama, naweza pata ka laki ka karbu hapo ntarudisha mwsho wa mwezi...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

..wife kujifungua ghafla,!Duh hii ni hatari
 
wife kajifungua ghafla............!
wabongo jamani!
 
ha ha duh! sound mvua mpaka utatoa tu
 
Cheki yatoka next week kwanini ulipe mwisho wa mwezi
 
Mkuu na wewe umo katika kitengo chetu nini? maana umepita mulemule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom