Laptops and Mobile phones for sale

Laptops and Mobile phones for sale

Kaka biashara makubaliano,yan 2nakubaliana..hakuna fix price kwa mal za mkononi..
 
Kaka biashara makubaliano,yan 2nakubaliana..hakuna fix price kwa mal za mkononi..

Ona biashara za kiswahili swahili, hukulazimishwa kuiuza na unajua fika dukani zimejaa kibao na bei zinafahamika. Sasa kuna ugumu gani ukawawekea wenzako picha na bei angalau ya kuanzia ili wahamasike kuja kwako badala ya kwenda madukani kununua?
 
canon np, canon ir, condition vipi.., mkuu weka maelezo ya kutosha ukiweka enough information hata kama sio mimi nataka huenda nilimsikia babu anatafuta kitu kama hiki.., Therefore the more info, the better your advert
 
Mkal hi ni biashara,makubaliano ndo kila ki2 bro..yan kama unaitaj simu ipo hapo mkal piga 2kubaliane,hakuna kinachoshndikana kwenye makubaliano.
nadhani hna uzoefu wa biashara wa kutosha. Mimi naungana na wanaokuchagiza uweke picha na bei tarajiwa kwa hivyo vifaa unavyouza kwani hakuna gharama yoyote kufanya hivyo. Wewe unadhani wasomaji watahamasikaje kuja kununua kwako wakati bidhaa hizo hizo zimetapakaa mitaani kwa bei ambayo pengine ni chini na unayoifikiria? Mimi nakushauri uweke picha na bei tarajiwa za kuanzia na useme unapatikana upande gani katika hii nchi iwe Dar, Arusha, Mwanza au mji wowote, kisha weka "Mazungumzo yapo" na si hii ya kuwababatiza watu kwamba mtakubaliana.
 
Mkal hi ni biashara,makubaliano ndo kila ki2 bro..yan kama unaitaj simu ipo hapo mkal piga 2kubaliane,hakuna kinachoshndikana kwenye makubaliano.

Mkuu unaweza ukakosa wateja kwa kitu kidogo tu,mie natumia bundle hapa free tu sasa naogopa kuanza kukuendea hewani na kuanza mwanzo unauza ngapi wakti ungeweka bei then tukienda hewani tunaanza kwa burgain,weka tu bei tuone kama reasonable,mie nataka hyp dell inspiron 250GB.
 
Photocopy machine inauzwa ni canon ir 1600...piga 0719373606...
Nipo dar es salaam.
 
Back
Top Bottom