Laptops and Mobile phones for sale

Laptops and Mobile phones for sale

sony vaio.....del.sumsung na hp.......zote mpyaaaaaaaa....anayetaka kunuua au kua busnes patner jus call 0719373606
 
laptops mpya zinauzwa....original zipo sony vaio....del...hp na sumsungs........call 0716373606

Tangazo lililokamilika linajibu maswali yote ya msingi kwa Mteja. Kamilisha tangazo lako kwa kufanya yafuatayo:-

  • Weka specification ya kila brand ya laptop ikiwa na bei ya kuuzia
  • Inapatikana mkoa gani
  • Jaribu kuweka hata picha ili kuongeza ubora wa Tangazo.
  • Guarantee ikiwezekana kwani, inaongezea ushawishi kwa mteja kwani ataamini kuwa bidhaa ni imara kwa kiasi chake.
  • Accessories nyingine anazoweza pata mteja Eg. Mkoba, hear/headphone etc itaongeza ushwishi kwa mteja.

Simu ni baada ya mtu kuridhika na maelezo ya kwenye Tangazo ili ukipigiwa iwe ni mtu ana majibu ya kutosha na kuwa hatamaliza crdt yake kwa kuuliza maswali ambayo yanajibika straight kwenye Tangazo.

Asante.
 
watanzania ukapitalist wetu ni uchwara niliwahi kumskia ayoub rioba akisema, mtu anatangaza kuuza bidhaa lakini hasemi anauza bei gani? anataka apigiwe simu, na hata ukimpigia mwingine atakwambia uzione kwanza, kama anauza uchawi? hi magari yanayouzwa wasingekuwa wanaweka bei badala yake wangekuwa wanaweka simu pale eti upige japan ili uambiwe bei dar tusingekua na kero ya foleni, sasa wewe kaa na laptop zako kama unauza uchawi, ngoja wateja watakupigia tu.
 
nani ampigie kwani hakuna wanaoweka bei? weka bei na useme bidhaa ziko wapi? kama uko newala na mimi niko muhambwe?
 
Nilipokuwa na miaka 23 ndio nilinunua simu yangu ya kwanza. Ilikuwa Siemens C35 na line ya Celtel. Kwa kuwa sikuwa na contacts nyingi wala watu wa kunipigia simu, ilikuwa inaniboa sana. Kwa kifupi nataka nikueleze jinsi inavyokera kuwa na simu halafu huna namna wala kazi ya kuitumia.

Sasa kaka hapa amegundua namna ambayo atamfanya demu wake amuone kuwa mfanyabiashara mkubwa mwenye deal nyingi za pesa. Anzeni kupiga jamani msimuangushe

duh kaja mjini punde

 
Ndiyo wale wale anakwambia nitumie nauli nikuletee bidhaa ukaione! Kuna kisa kimoja jana, wakati niko zangu ofisini alikuja jamaa ambaye ninamfahamu ila yeye ni mwenyeji zaidi hapa mjini kwetu. Akaniambia kwamba kuna kiwanja kinauzwa na kiko eneo zuri kwa Dar tuseme kama kule Masaki. Tukatoka wote kwenda kukiangalia na kweli nikakipenda. Akaniambia kama nimekipenda inabidi kesho yake asubuhi yaani leo akamwone mwenye kiwanja huko kijijini ili amwambie mteja amepatikana. Nikauliza si tumpigie simu? Akajibu kule kijijini simu hazikamati. Akadai nimpe nauli ya kwenda na kurudi kwa pikipiki Sh. 30,000. Nikamwambia haina shida nitampigia simu baadae nikiwa ofisini aje achukue hela. Nikiwa ofisini nikagundua nikimpeleka kwa gari ningetumia mafuta ya Sh.20,000. Nikampigia simu nikamwambia nitampeleka na gari huko kijijini hivyo ajiandae. Akajibu kwenda na gari kule haitawezekana. Nikagundua kumbe alitaka kunitapeli lo!
 
Mshawekewa namba bado mnauliza maswali yanini, si mumtwangie tu.
 
nani akutwangie? weka bei, hutaki peleka kwa wakwe zako, we unafanya biashara, halafu unataka mteja atumie pesa zake kwa kukupigia wewe? kwani unauza uchawi? si uweke bei mteja akiona ni reasonable anakupigia.
 
Kweli mkuu!wewe weka bei watu tukinogewa tunakutafuta!mimi nahitaji desktop!tumwagie bei hapa tujimwage!
 
nani akutwangie? weka bei, hutaki peleka kwa wakwe zako, we unafanya biashara, halafu unataka mteja atumie pesa zake kwa kukupigia wewe? kwani unauza uchawi? si uweke bei mteja akiona ni reasonable anakupigia.

mmmh! Huwa hauendi madukani wewe?
 
nani akutwangie? weka bei, hutaki peleka kwa wakwe zako, we unafanya biashara, halafu unataka mteja atumie pesa zake kwa kukupigia wewe? kwani unauza uchawi? si uweke bei mteja akiona ni reasonable anakupigia.

Duh MFEREJI MARINGO, yaan wakienda dukani watu wawili tu kama wewe, muuzaji lazima pressure ipande (LOL).
Mimi naona huyu mtoa tangazo marketing skills zake bado hazijakaa sawa au alikurupuka tu. Tofauti na bei, hakuna specifications za hizo bidhaa, hujasema zinapatikana wapi.
Najua unategemea customer akupigie ili umpe data zote (wengine hawataki kupoteza airtime zao), lakin kwa ushindani uliopo sasa hivi, lazima uwe creative, na umjali mteja wako hata kama hawezi kununua kwa sasa! Weka vitu hadharani
 
watu wengine wametumwa kuja kujaza server tu. hana laptop huyo. na kama anayo hajakusudia kuuza.
 
nani akutwangie? weka bei, hutaki peleka kwa wakwe zako, we unafanya biashara, halafu unataka mteja atumie pesa zake kwa kukupigia wewe? kwani unauza uchawi? si uweke bei mteja akiona ni reasonable anakupigia.
Punguza munkari mkuu,na huyo naye ni binadamu!!!!
 
iphone 3s,...mac air 500gb hdd,ram 4gb,core i5...mac pro 160gd of hdd...pia sony vaio 320gb of hdd.,ram 3gb......cal 0719373606
 
mac air 500gb hdd,ram 4gb,core i5... NAOMBA BEI MKUU
 
Back
Top Bottom