LAPSSET: Lamu Port and South Sudan Ethiopia Transport: News & Photos

E1hgYyaWEAg6PAs.jpeg
E1hgfN5WUAAHu3T.jpeg
E1hgpkSXsAgMqg3.jpeg
 
Wewe unaelewa neno "transhipment port" ina maana gani? Ama uko hapa kuongea mambo ambayo huelewi? Kwanza kuna fununu kwamba kuna uwezekano kwamba the first two ships zitakuwa zinatokea Mombasa port na Dar es Salaam port.
Jana nilisema kwamba kuna fununu kwamba meli ya kwanza kutua Lamu port itatokea Dar es Salaam port. Sasa ndio hii hapa confirmation. Maiden ship schedule.



1621233975144.png






Kuna Mlazy mmoja Mr. Wivu alisema kwamba rais wa Tanzania hawezi kamwe kuruhusu Lamu port kutumika kama transhipment hub na kwamba Dar port haiwezi kuhusishwa na transhipment business ya Lamu port. Hii ni pigo kubwa kwa ego ya Mlazy huyu. Meli ya kwanza kutua Lamu port itatokea Lazyland.
 
Jana nilisema kwamba kuna fununu kwamba meli ya kwanza kutua Lamu port itatokea Dar es Salaam port. Sasa ndio hii hapa confirmation. Maiden ship schedule.



View attachment 1788145





Kuna Mlazy mmoja Mr. Wivu alisema kwamba rais wa Tanzania hawezi kamwe kuruhusu Lamu port kutumika kama transhipment hub na kwamba Dar port haiwezi kuhusishwa na transhipment business ya Lamu port. Hii ni pigo kubwa kwa ego ya Mlazy huyu. Meli ya kwanza kutua Lamu port itatokea Lazyland.
Eggs on the face
 



MY TAKE
BTW Hili jengo lipo Samora Avenue au Sokoine Drive? Waandishi wetu bwana hivi hawakagui kazi zao?
 
Jana nilisema kwamba kuna fununu kwamba meli ya kwanza kutua Lamu port itatokea Dar es Salaam port. Sasa ndio hii hapa confirmation. Maiden ship schedule.



View attachment 1788145





Kuna Mlazy mmoja Mr. Wivu alisema kwamba rais wa Tanzania hawezi kamwe kuruhusu Lamu port kutumika kama transhipment hub na kwamba Dar port haiwezi kuhusishwa na transhipment business ya Lamu port. Hii ni pigo kubwa kwa ego ya Mlazy huyu. Meli ya kwanza kutua Lamu port itatokea Lazyland.
Sasa kama meli hiyo inapeleka mzigo Lamu port? How far r u sure kwamba inaenda kuchukua mzigo Lamu port isiyo na vifaa? We Mkunya wacha kuhara!
 
Sasa kama meli hiyo inapeleka mzigo Lamu port? How far r u sure kwamba inaenda kuchukua mzigo Lamu port isiyo na vifaa? We Mkunya wacha kuhara!
Nani amesema inaenda kuchukua mizigo Lamu? Nimesema inapeleka mizigo Lamu port. Wacha upumbavu Mlazy.
 
Nani amesema inaenda kuchukua mizigo Lamu? Nimesema inapeleka mizigo Lamu port. Wacha upumbavu Mlazy.
Mr Uharo, tutaona kama inapeleka mzigo Lamu port for reexport!

Lamu Port will on Thursday come to life as 204-metre long Mv CAP Carmel, a Denmark-based shipping line, with general cargo from Port of Dar es Salaam, docks on its way to Salalah in Oman.

Mv Seago Bremen Haven loaded with avocado from Mombasa will dock a few minutes later in an event expected to be graced by President Uhuru Kenyatta and other East and Horn of Africa leaders.

 
Back
Top Bottom