Jana nilisema kwamba kuna fununu kwamba meli ya kwanza kutua Lamu port itatokea Dar es Salaam port. Sasa ndio hii hapa confirmation. Maiden ship schedule.Wewe unaelewa neno "transhipment port" ina maana gani? Ama uko hapa kuongea mambo ambayo huelewi? Kwanza kuna fununu kwamba kuna uwezekano kwamba the first two ships zitakuwa zinatokea Mombasa port na Dar es Salaam port.
Eggs on the faceJana nilisema kwamba kuna fununu kwamba meli ya kwanza kutua Lamu port itatokea Dar es Salaam port. Sasa ndio hii hapa confirmation. Maiden ship schedule.
View attachment 1788145
Kuna Mlazy mmoja Mr. Wivu alisema kwamba rais wa Tanzania hawezi kamwe kuruhusu Lamu port kutumika kama transhipment hub na kwamba Dar port haiwezi kuhusishwa na transhipment business ya Lamu port. Hii ni pigo kubwa kwa ego ya Mlazy huyu. Meli ya kwanza kutua Lamu port itatokea Lazyland.
Sasa kama meli hiyo inapeleka mzigo Lamu port? How far r u sure kwamba inaenda kuchukua mzigo Lamu port isiyo na vifaa? We Mkunya wacha kuhara!Jana nilisema kwamba kuna fununu kwamba meli ya kwanza kutua Lamu port itatokea Dar es Salaam port. Sasa ndio hii hapa confirmation. Maiden ship schedule.
View attachment 1788145
Kuna Mlazy mmoja Mr. Wivu alisema kwamba rais wa Tanzania hawezi kamwe kuruhusu Lamu port kutumika kama transhipment hub na kwamba Dar port haiwezi kuhusishwa na transhipment business ya Lamu port. Hii ni pigo kubwa kwa ego ya Mlazy huyu. Meli ya kwanza kutua Lamu port itatokea Lazyland.
Nani amesema inaenda kuchukua mizigo Lamu? Nimesema inapeleka mizigo Lamu port. Wacha upumbavu Mlazy.Sasa kama meli hiyo inapeleka mzigo Lamu port? How far r u sure kwamba inaenda kuchukua mzigo Lamu port isiyo na vifaa? We Mkunya wacha kuhara!
Mr Uharo, tutaona kama inapeleka mzigo Lamu port for reexport!Nani amesema inaenda kuchukua mizigo Lamu? Nimesema inapeleka mizigo Lamu port. Wacha upumbavu Mlazy.
Lamu Port will on Thursday come to life as 204-metre long Mv CAP Carmel, a Denmark-based shipping line, with general cargo from Port of Dar es Salaam, docks on its way to Salalah in Oman.
Mv Seago Bremen Haven loaded with avocado from Mombasa will dock a few minutes later in an event expected to be graced by President Uhuru Kenyatta and other East and Horn of Africa leaders.
Busiest port in East and Central Africa..Nani amesema inaenda kuchukua mizigo Lamu? Nimesema inapeleka mizigo Lamu port. Wacha upumbavu Mlazy.
LolYaani wengine tunazungumza kuhusu kuzindua port mpya wiki hii na huku mwingine anapost kuhusu TPA kuzindua gym. Bana dunia ina mambo.
Boss thanks for posting. Naona uko na insider information. Hizo mapicha ulipost jana zimepostiwa saa hii in the last one hour na KPA. Kwa hivyo ulipata picha mbele ya KPA. Picha ulizitoa wapi ama you don't reveal your sources?Zimfika salama salmin!
![]()
![]()
Boss thanks for posting. Naona uko na insider information. Hizo mapicha ulipost jana zimepostiwa saa hii in the last one hour na KPA. Kwa hivyo ulipata picha mbele ya KPA. Picha ulizitoa wapi ama you don't reveal your sources?
Hahaha. Sawa I understand.Sisemi kitu 🤐🤐