Langu mimi ni hili: Wadada Please & please! Mtulie

Langu mimi ni hili: Wadada Please & please! Mtulie

Polee my dear ila ndo ivo tena..pesa inalipa zaidi..mapenz subiria uwape wanao kama bdo hujabarikiwa watoto..kama tayar unao give them for they need it the most.
 
Polee my dear ila ndo ivo tena..pesa inalipa zaidi..mapenz subiria uwape wanao kama bdo hujabarikiwa watoto..kama tayar unao give them for they need it the most.
Basi nitafanya hivyo baby,lakini kumbuka watoto wangu ni wewe ndio utawazaa.
 
Polee my dear ila ndo ivo tena..pesa inalipa zaidi..mapenz subiria uwape wanao kama bdo hujabarikiwa watoto..kama tayar unao give them for they need it the most.
Sawa basi,mimi nasubiri mpaka jua linazama.
 
Ng'ombe ni bombaaaaa, sasa kama hauna tutapokea nini tena kiboko au hahahaaa... coin ya elfu 50 kwa wengi itaonekana ka mtu katolewa shilindi mia...so itabidi muanze kuzijaza kwa mifuko ile mikubwa mieusi(nimepatia?) Muwape muwapendao.
Hahaha.....anza kabisa kutayarisha zizi manake punde utapokea ng'ombe za kutosha
 
Waweza mpenda mwanaume bila pesa lakin akija kupata pesa anakuja kukudharau na kusahau kama ulimvumilia akiwa hana pesa so ni bora tu kuwa na mwanaume mwenye pesa
 
Langumimi ni hili:Wadada please & please! Mkipendwa mpendeke,
Money is not a love,
Thamini Uwepo wa mwenzako,
Yaani hadi stress nani utamuoa...everygirl is an moneyfirst,moneyloving.
Where is TRUE LOVE now!
aah! the world of beast! I can't tolerate this!
Wadada mubadilike.


See how you attract them.... You might be the problem
 
Langumimi ni hili:Wadada please & please! Mkipendwa mpendeke,
Money is not a love,
Thamini Uwepo wa mwenzako,
Yaani hadi stress nani utamuoa...everygirl is an moneyfirst,moneyloving.
Where is TRUE LOVE now!
aah! the world of beast! I can't tolerate this!
Wadada mubadilike.

Brother, sii lazima kuchanganya Lugha. Humu JF kuna mpaka PhD holders, utajiumbua bure, andika kwa Lugha yako ya Kiswahili vizuri kabisa, ujumbe utafika tu!
 
Teh teh teeeee mimi na wewe ni maji na mafuta. Hatutawezana kabisa ati unaonaje?

Ngoja niende snapchat nione karusha nini tena maana mie na yeye hajui tu...napanga nikutanishwe nae nimkumbatie na kumpa busu tamu la shavu. Labda leo atanisoma na kunitumia PM au akina Babu Tale na Salaam.

Siku moja nikiwa likizo Dar nitaweka kambi nje ya geti lake. Huku mkoani kwetu hajaja bado akija nitakuwa rafiki wa polisi na wakuu wote kwa sekunde moja nimfikie Simbaaaaaa
Naomba niwe rafiki yako maana unajitambua sana
 
Back
Top Bottom