Langu mimi ni hili: Wadada Please & please! Mtulie

Langu mimi ni hili: Wadada Please & please! Mtulie

hahahahh, nakumbuka wakati nakua kuna familia mtaani baba alikuwa yanga mama simba.. kipindi kile simba wapo vizuri, mzee alikuwa analala mapema.. ushabiki huu

Eeeh mie sikuambii kati ya hizo ipi timu yangu,Ushabiki mzuri unatupotezea kusikiliza ya sio ya utanisoma tu humu siku moja kama bado. Muhimu na kupunguza kutofautiana ndani ya nyumba kwa vitu vidogo vidogo...dk tano mtu unazotoa kushabikia zinaweza kuwa zimeepusha makubwa na kutuliza roho ya mtu kuwa na furaha...hii ni ukiwa mshabiki mwenye roho nyeupe kama mimi.
 
mkipata hela haya maneno ya true love huyeyuka! mnakula bata wife anachungulia tu status za whatsapp hatakaa aitwe
 
Duuu polee but Mimi unilambi iviivi ata ella ya kubadilishia kyupi usinipe nyoko? No money no love mssg sent![emoji126] [emoji108]

Asee napenda watu dizaini yako mana najua hata KisamVu siwezi kosa..njoo sirini(PM)
 
Hapo sasa nimekuelewa,you tried to be neutral, hivyo ndivyo unatakiwa uwe. Haya nambie mtanichaji ng'ombe wa ngapi kama mahari manake sisi huwa tunatoa ng'ombe tu(Kidding)[emoji39] [emoji39]

Ng'ombe ni bombaaaaa, sasa kama hauna tutapokea nini tena kiboko au hahahaaa... coin ya elfu 50 kwa wengi itaonekana ka mtu katolewa shilindi mia...so itabidi muanze kuzijaza kwa mifuko ile mikubwa mieusi(nimepatia?) Muwape muwapendao.
 
mkipata hela haya maneno ya true love huyeyuka! mnakula bata wife anachungulia tu status za whatsapp hatakaa aitwe

Hiyo mke lazima augue tena hapo anakuwa hajui kama ni ana chati au anaongea, online inafika hata lisaaa haipotei maana na last seen ipo kwa nobadi...
 
Eeeh mie sikuambii kati ya hizo ipi timu yangu,Ushabiki mzuri unatupotezea kusikiliza ya sio ya utanisoma tu humu siku moja kama bado. Muhimu na kupunguza kutofautiana ndani ya nyumba kwa vitu vidogo vidogo...dk tano mtu unazotoa kushabikia zinaweza kuwa zimeepusha makubwa na kutuliza roho ya mtu kuwa na furaha...hii ni ukiwa mshabiki mwenye roho nyeupe kama mimi.
ushabiki unakuwa siku ya mpira.. redio inawekwa barazani wote wanasikiliza.. yanga anafungwa.. baba anainuka taratibu anaenda ndani.. siku hiyo chakula kinapita kwa tabu sana..sipati picha nikiwa na wewe.. utanipa shida sana we mwanamke
 
Duuu polee but Mimi unilambi iviivi ata ella ya kubadilishia kyupi usinipe nyoko? No money no love mssg sent![emoji126] [emoji108]

Ha ha ha. Daah, umeongea kwa msisitizo na hisia kweli mkuu. Njoo mimi nitakupa. Wasikutese mtoto wa watu. Unataka Tshs/USD ngapi?
 
Brother Brother Hemed pole sana. Inabidi uwazoee tu hawa viumbe aisee. Dunia imevaa bukta mkuu. But ukipata tiba ya kuwafanya wapunguze kupenda hela kama unavyotaka basi unistue mkuu. Ha ha haaaah. Halafu, kaka mbona sasa kama umeandika haraka haraka utafikiri unafukuzwa!?
 
Back
Top Bottom