Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Jacoduogo2 muone jamaa yako hapo juu Narubongo aka Airo hataki kuusikia huu ukweli anasema ni unafiki!Lameck Okambo Airo alibaka ubunge na ukweli ni hawezi ubunge kwani hata ukimuuliza maana na kazi ya mbunge hatokupa jibu kamwe! Yule alitumwa na Lowassa ili kumsaidia Lowassa kutimiza ndoto zake 2015! Hutaki unaacha na ukweli ndo huo....!
Last edited by a moderator: