Lakini Yana Mwisho Haya...!

mkuu akili kumuvufu (not kichwa)

learn to sympathize with others - no matter what great mind or thinking you claim to posses it is inhumane to cheer when someone somewhere is in great pain! Wa-kurd hawakufurahia kunyongwa kwa saadam hussein! This did not fix their fundamental problems - hata hawa waliopora huyu jamaa na familia yake hawatasuluhisha matatizo yao - hiyo njia siyo sahihi na wala sustainable by any chance...

poleni kwa maswhaibu hayo - naamini kama kila mtu atawajibika kwa nafasi yake aliyonayo haya yote yatafika mwisho.

tujifunze pia kuishi na ndugu na majirani kwa upendo
 
pale sio sehemu salama hata kidogo, na hakuna asiyejua ila hakuna dalili ya kuondoa hawa waarifu
 
ANGALIZO:

NIMELAZIMIKA KU-EDIT HII OST ILI NIELEWEKE VIZURI.

SINA UGOMVI WOWTE NA HUYU NDUGU ALIYEPATA AJALI, BALI NIMETOA MCHANGO WANGU WA MAWAZO KULINGANA NA HALI HALISI YA JAMII YETU ILIVYO HASA KUHUSU UHUSIANO WA ALIYENACHO NA ASIYE NACHO. CHA KUSIKITISHA ZAIDI, HATA FAMILIA ZIMEATHIRIKA SANA TA TOFAUTI HIZI ZA KIUCHUMI KATIKA JAMII. HIVYO UNAPOSOMA APA TAFADHARI UWE NEUTRAL NDIO UTANIELEWA VIZURI.

NAMPA POLE SANA NDUGU YETU ALIYEPATA AJALI NA NAMUOMMBEA APONE HARAKA NA FAMILIA YAKE. NI KAWAIDA KWA JAMII YETU KUTAFAKARI MAISHA KWA MAPANA YAKE PALE TUNAPOPATA TUKIO LA KUSIKITISHA KAMA MSIBA , AJALI NK. NAOMBA SOTE TUTUMIE TUKIO HILI KUTAFAKARI NAMANA TUNAVYOISHI NA NDUGU NA MAJIRANI ZETU TUREKEBISHE MAISHA YETU NDIPO TUTAKUWA WANA WA MUNGU KWELI. MMBARIKIWE SANA NA POLE KWA WOTE WALIOKWAZWA NA POST HII

MUNGU AWAPE AMANI.

amejua kwamba yana mwisho baada ya kukutana na wakora wa mujini?????????

alipokuwa anakula mkate na kutupa mingine wakati anajua kuna masikini wamemzunguka hakujua kuwa yana mwisho pia?????????

alitaka kuwahi msibani kisha awasimange ndugu zake masikini walioshindwa kuhudhuria mazishi kwa kushindwa hata nauli tu kuwa "hawashiriki shughuli za kifamiliya" na yeye aonekane anapenda familia kuliko wengine?????

je alifikiria japo kumsaidia ndugu yake mmoja masikini nauli naye ashiriki msiba, au hakujua kuwa "yana mwisho" nayo???????
AK, do you know the person? your questions were directed as if you know the person who was involved in this issue!!! Plse light it up to us!!
 
Ni nini hii maneno?

Ni wapi palipoanzia kuharibika?

Na je wakati huo tulikuwa wapi, hadi mambo yanafika huku?

Ni jana tu, ndugu na jamaa yangu huyu, alipata simu ya kufiwa na babake mzazi huko kwao Mbeya, akakusanya familia yake(mke na watoto), wakaondoka Dar kuelekea eneo la tukio, wakiwa na usafiri binafsi.

Wakiwa wanapita eneo la Mikumi usiku wakavamiwa na majambazi, wakaporwa kila walichokuwa nacho(fedha, simu, documents, mabegi etc), wakaachwa hawana msaada.
(true scene, nimepigiwa leo)

Ni Serikali ambayo haifanyi lolote katika kuhakikisha usalama wa raia wake nchini kote. Mambo haya ya wasafiri kuporwa na majambazi yanatokea kila mwaka lakini hadi leo hii Serikali haijachukua hatua zozote kupambana na majambazi hayo yanayowanyayasa Watanzania kila wakati na wakati mwingine hata kuchukua uhai wao. Angalia ile kesi ya Muro ilivyopewa kipaumbele na hata Pinda kutaka uchunguzi uharakishwe lakini hawa waliodhulumiwa mali zao na Majambazi hawana pa kukimbilia na wala hutamsikia Pinda atamke kwamba uchunguzi wa tukio hilo uharakishwe au ulinzi katika barabara mbali mbali nchini uongezwe ili kuwalinda wasafiri. Priorities zetu zimekaa kinyume kinyume kutokana na kuwa na Viongozi wasio na vision katika kuwaongoza Watanzania na kuhakikisha usalama wao na mali zao.
 
ah ah ah ah twin u made my deiiiii,I like it

senks twin!!!
Mkuu Akili KumuVufu (not kichwa)

Learn to sympathize with others - no matter what great MIND or THINKING you claim to posses it is inhumane to cheer when someone somewhere is in great pain! Wa-Kurd hawakufurahia kunyongwa kwa Saadam Hussein! This did not fix their FUNDAMENTAL problems - Hata hawa waliopora huyu jamaa na familia yake hawatasuluhisha MATATIZO yao - Hiyo njia siyo sahihi na wala sustainable by any chance...

Poleni kwa maswhaibu hayo - Naamini kama kila mtu atawajibika kwa nafasi yake aliyonayo haya yote yatafika mwisho.

Noted mzee wa busara

oooooh akili unyayoniiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!

the most inteligent basi nirekebishe kauli.....

great thinker mkabaji??

hahaaaaaaa!!! kasema it needs a great mind to....................kwa hiyo kama humwelewi that means ur mind is..........................
 
hahaaaaaaa!!! kasema it needs a great mind to....................kwa hiyo kama humwelewi that means ur mind is..........................[/QUOTE]

hamna kitu anaonekana jealous watu wakimpita juu ya mikoko yao au wakila batait anaonekana linamkwama,ndo walewale.
 
Ni nini hii maneno?

Ni wapi palipoanzia kuharibika?

Na je wakati huo tulikuwa wapi, hadi mambo yanafika huku?

Ni jana tu, ndugu na jamaa yangu huyu, alipata simu ya kufiwa na babake mzazi huko kwao Mbeya, akakusanya familia yake(mke na watoto), wakaondoka Dar kuelekea eneo la tukio, wakiwa na usafiri binafsi.

Wakiwa wanapita eneo la Mikumi usiku wakavamiwa na majambazi, wakaporwa kila walichokuwa nacho(fedha, simu, documents, mabegi etc), wakaachwa hawana msaada.
(true scene, nimepigiwa leo)

msingi ukishaharibika mwenye haki atafanyanini tatizo hapa ni misingi imeharibika misingi ya nchi imeharibika ndo sababu ya maovu yote.
Ole wako nchi wakuu wako wakiwa ni waovu
 
Poleni sana...itabidi tuwe tunaruhusiwa kutembea na silaha sasa!!!!
 
Poleni sana...itabidi tuwe tunaruhusiwa kutembea na silaha sasa!!!!

........Kama unaenda safari ya mbali na hujatumia public transportation una usafiri wako binafsi mie naona silaha itakuwa muhimu kwa mtindo huu.
Binadamu siku hizi si wema hata kidogo, kuna baadhi ya binadamu wanafanya vitu utafikiri mnyama vile.
Pole yao walioporwa vitu, nafuu wamewabakishia roho zao.
 
........Kama unaenda safari ya mbali na hujatumia public transportation una usafiri wako binafsi mie naona silaha itakuwa muhimu kwa mtindo huu.
Binadamu siku hizi si wema hata kidogo, kuna baadhi ya binadamu wanafanya vitu utafikiri mnyama vile.
Pole yao walioporwa vitu, nafuu wamewabakishia roho zao.
ni sawa unayosema lakini si unakumbuka yaliomkuta swetu?katembea na panga kwaajili ya kujilinda tu,lakini wale wajeshi walipoona panga ndio wakapata sababu ya kumuua.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom