Tumaini Jipya
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 379
- 125
Nawasabahi wana JF katika Jina La Mageuzi!!
Mimi sina muda Mrefu tangu nijiunge na Jukwaa hili ambao Wanachama wake wengi(si wote) wanao uwezo wa kipekee kabisa wa Kufikiri,hawa ndiyo wale Watanzania wachache ambao NJAA na DHIKI iliyosababishwa na Ccm havijajeruhi uwezo wao Kufikiri!! Wana uwezo wa kukusikia na kukuelewa si tu kutoka kwenye maneno unayoyasema lakini zaidi sana kutoka katika maneno tusiyoyatamka!!
Katika kipindi kifupi nilichokuwa Mwanajamii wa Forum hii nimeshuhudia Michango ya Mawazo mizito na iliyosheheni nyama hasa katika Jukwaa hili la Siasa na Biashara!!
Nilichogundua tu hata waliowengi ambao huwa wanaandika "crap" hawasukumwi kufanya kutoka katika uwezo mdogo kichwani bali desturi tu ya kuchagua "the easy way" wakidhani kufanya hivyo kutawawezesha kuendelea kuweka "Sahani" mezani!!
I have been profoundly blessed by the contributions of many great thinkers in ths Forum,Big Up ladies and Gentleman!!
In light of ths,kama Jakaya angekuwa anafuatilia michango ya mawazo ya watu WanaJamvi hapa bila shaka angekuwa ana haja ya wale wanoitwa "washauri" wa Rais!! Jf ni zaidi ya Mshauri,unahitaji kuondoa "Pumba" chache zingine zote points tu!!!
Jakaya pay frequent Visits to ths Forum,hautotoka kapa,Ths is the home of people with Fine Minds!!
Mimi sina muda Mrefu tangu nijiunge na Jukwaa hili ambao Wanachama wake wengi(si wote) wanao uwezo wa kipekee kabisa wa Kufikiri,hawa ndiyo wale Watanzania wachache ambao NJAA na DHIKI iliyosababishwa na Ccm havijajeruhi uwezo wao Kufikiri!! Wana uwezo wa kukusikia na kukuelewa si tu kutoka kwenye maneno unayoyasema lakini zaidi sana kutoka katika maneno tusiyoyatamka!!
Katika kipindi kifupi nilichokuwa Mwanajamii wa Forum hii nimeshuhudia Michango ya Mawazo mizito na iliyosheheni nyama hasa katika Jukwaa hili la Siasa na Biashara!!
Nilichogundua tu hata waliowengi ambao huwa wanaandika "crap" hawasukumwi kufanya kutoka katika uwezo mdogo kichwani bali desturi tu ya kuchagua "the easy way" wakidhani kufanya hivyo kutawawezesha kuendelea kuweka "Sahani" mezani!!
I have been profoundly blessed by the contributions of many great thinkers in ths Forum,Big Up ladies and Gentleman!!
In light of ths,kama Jakaya angekuwa anafuatilia michango ya mawazo ya watu WanaJamvi hapa bila shaka angekuwa ana haja ya wale wanoitwa "washauri" wa Rais!! Jf ni zaidi ya Mshauri,unahitaji kuondoa "Pumba" chache zingine zote points tu!!!
Jakaya pay frequent Visits to ths Forum,hautotoka kapa,Ths is the home of people with Fine Minds!!