Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Sasa hawa wote walishindwa! Kweli mtarimbo umelala doroHana walinzi, ila ni wapambe! tena alikuwa nao wengi tu siku hiyo...cheki picha hii hapa chini..
Sasa hawa wote walishindwa! Kweli mtarimbo umelala doroHana walinzi, ila ni wapambe! tena alikuwa nao wengi tu siku hiyo...cheki picha hii hapa chini..
Watu wengine bwana, utakwendaje uwanja wa taifa na lap top kama siyo ubishoo aaa, kwani Jaydee hajui kwamba uwanja wa taifa uko wilaya ya Temeke.
.
nimefuatilia tena ni kweli hako kahabari kangu ni bogaz, chanzo changu cha habari kimechemsha! inabidi nifatilie tena kwanini kaenda na kalaptopu uwanjani?
Watu wengine bwana, utakwendaje uwanja wa taifa na lap top kama siyo ubishoo aaa, kwani Jaydee hajui kwamba uwanja wa taifa uko wilaya ya Temeke.
Pole Jaydee ila kuwa muangalifu sana nchi na mji wetu wa DAR umebadilika sana, sana, sana, hakuna usalama.
Pole sana inauma ku loose doc. hakuwepo mumeo awape za uso? na hukuwa na ile spray ya kina mama(mays spray) kwa ajili ya vibaka? laptop ya nini uwanjani au inarecord mpira na mavocal?
sasa hawa wote walishindwa! Kweli mtarimbo umelala doro
Sasa uwanja wa Taifa na Laptop!Sina hakika na vitu alivyoibiwa kwani tumezoea watu wakiibiwa utawasikia nilikuwa na kompyuta,mastercourse,billwate n.k hata kama huyo aliyeibiwa anashinda njaa kwa kutokuwa na pesa!
Pole sana jide lakini ongea ukweli.
Sasa uwanja wa Taifa na Laptop!Sina hakika na vitu alivyoibiwa kwani tumezoea watu wakiibiwa utawasikia nilikuwa na kompyuta,mastercourse,billwate n.k hata kama huyo aliyeibiwa anashinda njaa kwa kutokuwa na pesa!
Pole sana jide lakini ongea ukweli.
WAPENDWA WANGU HAMJAMBO??
NATUMAINI MKO POA KABISA, HUKU MWENZENU HALI ILIKUWA SI SHWARI
KIMYA CHANGU HAKIKUWA CHA BURE.
USIKU WA JUMATATU WAKATI NATOKA MPIRANI UWANJA WA TAIFA NILIVAMIWA NA VIBAKA NA KUPORWA HANDBAG NA KUGALAGAZWA.
WANYAMA NILIOKUWA NAO PIA MMOJA ALIEJARIBU KUNILINDA ALIGALAGAZWA VIBAYA, NA WENGINE WAWILI KUKIMBIA (MITINI)
YANI HII STORY NITAKUWA SIITENDEI HAKI NIKIELEZA KWA MANENO
NAMTAFUTA MCHORA CARTOON MZOEFU
NIMUELEZEE MKASA WOTE JINSI ULIVOTOKEA
AKISHANICHOREA NDIO NI POST HIYO STORY, MTAIELEWA ZAIDI
KAMA YUPO MCHORAJI AMBAE NAWEZA KUMSIMULIA KISA AKAKIWEKA KWENYE PICHA, TUWASILIANE TAFADHALI
KIFUPI NI KWAMBA WANYAMA WENGINE WOTE WALIKIMBIA ALIBAKI KASEJA PEKE YAKE KUMTETEA COMANDOO JAPO ALIZIDIWA NGUVU... NA HADITHI INAANZIA HAPO
TO BE CONTINUED..........................
JAPO KUNA WALIO ANZA KUISIMULIA UTADHANI WALIKUWEPO