Lady Jay Dee ajibu hoja ya Wakurya!

If 2+2 = 4 and 2X 2 = 4

then what is the logic in this statement ?.

same like saying:

2 x 0 =0 Or 0 x 2 = 0

Kulikua na haja gani ya yeye kuukana Ukurya, wakati huo huo anaonyesha kuutetea Ukurya?? kipi kinachofanya "Msizaki" kuwa bora zaidi kuliko Mkurya huko Musoma?..

Brain washed!
Hajaukana ukurya bali amesema yeye ni kabila gani na kwa kuonyesha kuwa hata angekuwa mkurya angejivunia tu kwani ndiyo kabila lake. Nadhani hii haina ubishi na amekuwa very positive for those who would like to read carefully between the lines!!!
 

.... Nimesoma Tarime Sec Mambo niliyoyashuhudia hapo Tarime ni ya kuwaachia wao tu! Nimeona mke amekatwa panga kichwani alikuwa amebeba mtoto mgongoni na mtoto akapitiwa and its just a trivial domestic scuffle jamaa anabebea mke panga! What a stonyhearted people!!!!!!!

Nilipita Tarime mjini siku za nyuma mara moja na niikaa kwa nusu saa tu, lakini kwa muda huo mfupi nilishuhudia pair 2 tofauti za watu wakitwangana ngumi hadharani huku watu wakishangilia. Labda ni coincidence, lakini mmh ..
 
Makundi hayo kama nilivyoyaainisha wanaongea lugha moja bila ya kuhitaji mkalimani. Wanatofautiana matamshi tu. Mila na desturi ni zilezile isipokuwa matambiko tu!

........Kama wote wanaongea lugha moja na mila na desturi ni zile zile basi wote ni wakurya na hizo nyingine kweli ni koo tu.
Vipi kuhusu na ile mila yao ya kutahiri wanawake wote hao wanaifanya?
 
I am proud to be a kurya, so what?

Well proud to be from Mara and nobody can make me feel less. What I have in me makes me what I am...A phenomenal person and words would not change that. I stand to be counted for what I have become not a statistic of a tribe.

Jaydee don't sweat the small stuff!
 
<font face="Arial">Mengi ya yanayojiita makabila kule Mara ni KOO tu. Wazanaki,
Kaka kadiri ninavyoelewa miye BAZAZI hao ni kabila linalojitegemea na lina asili moja ya watutsi (yaani WAHIMA). Jina hilo la ZANAKI walipewa na wajita likiwa na maana ya wamekuja na nini (waza-naki?). Kumbuka hawa ni wafugaji na hivyo kuheshimu sana mifugo ilhali wajita ni wakulima wakithamini zaidi mazao ya shambani. Unakumbuka Rev. Mtikila aliwahi kusema Mwl Nyerere ni mtutsi, asili ya dai hilo ni hiyo scenario hapo juu. Chambua uamue
 
Hasira ni moja ya sifa za watu wa Mara ,so our Ms Wambura ni moja ya hulka yake nadhani ni sio sahihi kuchukia anapo ji eskresi kwa hasira!
 
Kaka kadiri ninavyoelewa miye BAZAZI hao ni kabila linalojitegemea na lina asili moja ya watutsi (yaani WAHIMA). Jina hilo la ZANAKI walipewa na wajita likiwa na maana ya wamekuja na nini (waza-naki?). Kumbuka hawa ni wafugaji na hivyo kuheshimu sana mifugo ilhali wajita ni wakulima wakithamini zaidi mazao ya shambani. Unakumbuka Rev. Mtikila aliwahi kusema Mwl Nyerere ni mtutsi, asili ya dai hilo ni hiyo scenario hapo juu. Chambua uamue

That is what they say! right?
 
Nina hakika wewe haujawahi kukasirika, kwa sababu wewe hutoki Mara.
Hujamuelewa................. Ni kwamba.........

SI KILA MWENYE HASIRA KALI ANATOKA MARA ILA KILA ANAYETOKA MARA ANA HASIRA KALI...........................


Hao wanaoishi nje ya Mara tumewadizolvu hadi wamepoteza hasira zao........... WAKIRUDI KWAO HUWA WANAPATA SHIDA SANA KUJICHANGANYA NA WENZAO ............. maana wanakuwa wamepoteza uwezo wa "KUMANUFAKCHA" hasira
 
Kaka kadiri ninavyoelewa miye BAZAZI hao ni kabila linalojitegemea na lina asili moja ya watutsi (yaani WAHIMA). Jina hilo la ZANAKI walipewa na wajita likiwa na maana ya wamekuja na nini (waza-naki?). Kumbuka hawa ni wafugaji na hivyo kuheshimu sana mifugo ilhali wajita ni wakulima wakithamini zaidi mazao ya shambani. Unakumbuka Rev. Mtikila aliwahi kusema Mwl Nyerere ni mtutsi, asili ya dai hilo ni hiyo scenario hapo juu. Chambua uamue

Teh teh teh kama nataka kukuamini vile, waza naki kweli ni noma, halafu maelitist kinoma noma. Usiombe kuwa na uhusiano nao utajuta kuwajua.
 
........Kama wote wanaongea lugha moja na mila na desturi ni zile zile basi wote ni wakurya na hizo nyingine kweli ni koo tu.
Vipi kuhusu na ile mila yao ya kutahiri wanawake wote hao wanaifanya?
Tena hiyo mila ya kutahiri wanawake ndio inayowaunganisha hasa hayo "makabila" ya Kikurya. Wajita wanatahiriwa wanaume tu. Wajaluo wao ni "watu wazima". Hawatahiri wanaume wala wanawake!
 
My point is people always want to id people based on their uniqueness! Think of this 'Kuna Msabato mmoja amekamatwa ugoni"

Lakini kama angekuwa M-catholic watu wasinge sema M-catholic amekamatwa ugoni its just "jamaa" Yawezekana wewe sio Mkurya lakini usishangae Wakurya kuitwa mapanga shaaa kwa sababu that is what come in the mind of people when they see a Mkurya Hiyo ndio Avatar yao! and in fact that is who they are!!

Nimesoma Tarime Sec Mambo niliyoyashuhudia hapo Tarime ni ya kuwaachia wao tu! Nimeona mke amekatwa panga kichwani alikuwa amebeba mtoto mgongoni na mtoto akapitiwa and its just a trivial domestic scuffle jamaa anabebea mke panga! What a stonyhearted people!!!!!!

Ishu ya juzi ndio imenimaliza kabisa Kichwa cha mtoto mdogo cut open, ng'ombe utumbo nje. Mpaka najiuliza kweli watu watu tuko diverse kiasi hiko, some cant even hurt a fly, some can do un-imaginable autrocity!!!
Kaka mbona umetoa mfano wa wasabato kwani hao ni hatari kwa ngono?
 
Nilipita Tarime mjini siku za nyuma mara moja na niikaa kwa nusu saa tu, lakini kwa muda huo mfupi nilishuhudia pair 2 tofauti za watu wakitwangana ngumi hadharani huku watu wakishangilia. Labda ni coincidence, lakini mmh ..
Huko hakufahi kuishi watu wanyonge kama Nyani Ngabu!
 
Back
Top Bottom