Hajaukana ukurya bali amesema yeye ni kabila gani na kwa kuonyesha kuwa hata angekuwa mkurya angejivunia tu kwani ndiyo kabila lake. Nadhani hii haina ubishi na amekuwa very positive for those who would like to read carefully between the lines!!!If 2+2 = 4 and 2X 2 = 4
then what is the logic in this statement ?.
same like saying:
2 x 0 =0 Or 0 x 2 = 0
Kulikua na haja gani ya yeye kuukana Ukurya, wakati huo huo anaonyesha kuutetea Ukurya?? kipi kinachofanya "Msizaki" kuwa bora zaidi kuliko Mkurya huko Musoma?..
Brain washed!