Ladies ndani ya ndoa piteni hapa

Duniani hakuna jema hata siku moja, kwahyo usiogope kuishi kwasababu hakuna jema.

Just live anyway.
 

Sawa kabisa!
 

Aaaaamen
 

Kongosho hapo kwenye red sina hakika sana

wengine wanaangalia tu kama ana mshiko wa kuchuna
Sidhani kama ni sera ya aliyenona ...
 
Afadhali hapa JF I can yap about my husband. Mazoea na story za salon sinaga.I do not like to discuss my marriage at all

What more can i say zaid ya kuadmire the way unavyojielewa?
 
Wanawake huwa mnakosea kwa kuanika mambo ya faragha wewe na mmeo mbele za watu,...unaweza ukadhani wanakuchekea kumbe ndio unatoa siri za Kambi....
 
kusimulia habari za mumeo mbele za wamawale wenzio unajiunaguza kwenye tanuru la moto.Wengine wanawaume zao ila hawawafikishi kunako....sasa ww unapokuja na hadithi zako sikuo Ooh mme wangu mambo anayaweza sijui ana mashine kumbwa anajua kuitumia, hujui kwamba unawatamaisha wale wenye waume vibamia na wanatamani, kukunwa vyema? Basi endeleeni kujitangaza mwisho wa siku jinamizi ameingilia ndoa yangu kumbe jinamizi ni ww na mdogo wako
 
kusimulia habari za mumeo mbele za wamawale wenzio unajiunaguza kwenye tanuru la moto.Wengine wanawaume zao ila hawawafikishi kunako....sasa ww unapokuja na hadithi zako sikuo Ooh mme wangu mambo anayaweza sijui ana mashine kumbwa anajua kuitumia, hujui kwamba unawatamaisha wale wenye waume vibamia na wanatamani, kukunwa vyema? Basi endeleeni kujitangaza mwisho wa siku jinamizi ameingilia ndoa yangu kumbe jinamizi ni ww na mdogo wako
 
Aisee mke wangu akipita hapa atapata wasiwasi sana. Mkuu FL1 hebu punguza details bana 🙂
 
Kunona kuko kwa aina nyingi, ila pesa ni top of them all. Hujui Wasira is vere handisamu?

Kongosho hapo kwenye red sina hakika sana

wengine wanaangalia tu kama ana mshiko wa kuchuna
Sidhani kama ni sera ya aliyenona ...
 
Mtoa mada umesema kweli loh nilikuwa namsifia kwa rafk kadhaa nusura ahamie kwako nimejifunza crudii kosa raha zangu cri yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…