Madam G
Member
- Apr 18, 2013
- 77
- 45
Simwamini mtu anayeitwa mwanaume,ata awe mpole vpi mana ni pasuha kichwa kama aliweza kwangu atashindwaje kwengine.
sala kwa tuliiolewa,Mungu nisaidie mume wangu asiwe na michepuko,akiwa na michepuko nisiijue,nikiijua nisiumie,,nikiumia nivumilie,hahhhahhahahahahah