Ladies ndani ya ndoa piteni hapa

Ladies ndani ya ndoa piteni hapa

Hivi mimi NK kabisa nikapige story na wadada salon...?
Kunangwa kwingine ni kwa kujitakia...
(Know your class)

Na ukute hata mumewe hawamjui...
Ila kwa kuwa kajisifia wanataka kumrusha roho tu...

Mimi huwa sitaki hata zile service za kufuatana home...

Nyumbani kwangu si pa kila mtu kuingia na kutoka kama chooni...

Word gal, kama kawa...
Halafu huko kuna watu wa kila aina, and then mtu anaweka personal life yake in the open for everybody to see?!!
Lakini kama ulivosema, it's all about the EGO!
 
ni mbaya sana kumsifiaa au kumponda mume kwa maana dunia ya sasa sio

tuwe na kifua cha kutunza siri

Ni kweli kabisa dada ICHANA wanawake tunajisahau sana tukiwa na kizuri ni shida tukiwa na kibaya ni shida,vifua hatuna kabisa unakuta mtu anamponda mumewe saluni au kwa watu kiasi kwamba yule mume akipita kila mtu anamnyosha kidole.

Asante sana FirstLady1 kwa ushauri kuntu,zipo sehemu za kusifia na kwa sababu maalum si kila sehemu za kuropoka tu,akiwa wako mzuri piga magoti mshukuru Mungu na ukatoe sadaka ya shukrani,muombee kila siku mazombi ya nje yasimle na kila atokapo mkabidhi mbele za Mungu.

Na wanawake wenye tabia za kuiba waume za Watu muache,subirini wa kwenu,mbona wapo wengi tuu!! Wivu wa kijinga haufai kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Kweli watu tumeumbwa tofauti unanaanzaje kumsimulia mtu mambo yako ya ndani my advise don't trust anyone any thing can happen anytime wengi wamelizwa kwa sifa za kijinga mmeo katulia wewe unamwingiza kwenye majaribu mwishowe akianguka unaanza kulia!
 
Hivi mimi NK kabisa nikapige story na wadada salon...?
Kunangwa kwingine ni kwa kujitakia...
(Know your class)

Na ukute hata mumewe hawamjui...
Ila kwa kuwa kajisifia wanataka kumrusha roho tu...

Mimi huwa sitaki hata zile service za kufuatana home...

Nyumbani kwangu si pa kila mtu kuingia na kutoka kama chooni...

Sure
Huwezi eti kupiga story saluni za kumsifia mtu wako!
Salun zenyewe za bongo hiz cjui unaanzaje kukaa kupiga story lzm muwe mnafanana.....
Mi sioni shida kumsifia mtu wangu bt inategemea place and time!
Halafu kuna vya kuongea sio vya chumbani tena, hapo itakua too much!
 
Na ndio uzuri wa kujichanganya na watu mnaofanana...
Hata uongee nini hawawezi kulikuza...

Ila ukiwa na watu tofauti na wewe chochote uongeacho wanachukulia unaringa...na wanaanza kukuombea mabaya ili wakucheke...

sina maana kuwa tusiongee kabisa na watu tofauti na siye; ila ni kujua kipi cha kuzungumza na nani...
Sana sana salon nachoweza changia ni story za joti na magazeti ya udaku...si maisha yangu...wala ya mume wangu...
Sure
Huwezi eti kupiga story saluni za kumsifia mtu wako!
Salun zenyewe za bongo hiz cjui unaanzaje kukaa kupiga story lzm muwe mnafanana.....
Mi sioni shida kumsifia mtu wangu bt inategemea place and time!
Halafu kuna vya kuongea sio vya chumbani tena, hapo itakua too much!
 
Hata wa same class na yeye unatakiwa uongee nae kwa machale...
Nina rafiki yangu (office mate) nampenda sana maana yuko so cool...
Mumewe ni bossy sana...nimejua sababu mke analalamika sana tukiwa job...

Sasa badala ya kumwambia 'mimi nina bahati mume wangu hana hizo tabia kabisa'
Nachombezeaga tu' wanaume ndivyo walivyo'...na naona inasaidia kumtia moyo
Maana nikianza kumsifia wangu kuwa yuko tofauti; japo najua hawezi nionea wivu maana ana roho nzuri sana huyu mdada lakini nitamfanya aanze kujutia kuolewa au hata kumchukia mumewe...

Kwa hiyo pia si vizuri kushare furaha zetu na watu ambao wana huzuni...ni kuwatia moyo wasijioni wana mikosi...
 
sithubutu na sitothubutu tena hasa maeneo ya vigenge vya wanawakemf:saloon,dukani au nyumbani
tena usijione we ndo wewe utjuta kujijua we mwenyewe
 
Sure
Huwezi eti kupiga story saluni za kumsifia mtu wako!
Salun zenyewe za bongo hiz cjui unaanzaje kukaa kupiga story lzm muwe mnafanana.....
Mi sioni shida kumsifia mtu wangu bt inategemea place and time!
Halafu kuna vya kuongea sio vya chumbani tena, hapo itakua too much!

The red reminds me of an African proverb,.....show me your friend and I will show you your character!
 
Hata wa same class na yeye unatakiwa uongee nae kwa machale...
Nina rafiki yangu (office mate) nampenda sana maana yuko so cool...
Mumewe ni bossy sana...nimejua sababu mke analalamika sana tukiwa job...

Sasa badala ya kumwambia 'mimi nina bahati mume wangu hana hizo tabia kabisa'
Nachombezeaga tu' wanaume ndivyo walivyo'...na naona inasaidia kumtia moyo
Maana nikianza kumsifia wangu kuwa yuko tofauti; japo najua hawezi nionea wivu maana ana roho nzuri sana huyu mdada lakini nitamfanya aanze kujutia kuolewa au hata kumchukia mumewe...

pia si vizuriKwa hiyo kushare furaha zetu na watu ambao wana huzuni...ni kuwatia moyo wasijioni wana mikosi...

You have a HEART!, Mshukuru Mungu for that!,....nilikuwa na the so called "best friend" for quite a while, smart, extrovert and all the good things you'd want in a friend, kulikuwa na red flags lakini nika ignore cause I wanted to keep her as a good friend,....the day the bomb dropped was the day niligombana na ex wangu na ukawa mwisho wa penzi, halafu yale mapenzi ya kitoto ukiachana na ki boyfriend basii!, it's the end of the World! and the sky's falling, kumpigia shosti simu na kuanza kumlilia anifariji mwenzangu kaanguka kicheko mpaka kwikwi!,...nikashindwa huyu vipi?, ananiambia ndo maisha!, I was like really best friend?!, and you really think this the best time to tell me that?!...and up to this day I've never regreted my decision to end the friendship. I also PRACTICALLY learned that common sense is not even common.
 
Mie kwa kweli siamini kama mtu anaibiwa, anakuwa kaamua kujiiba mwenyewe. Wadada wa salon tunawatumia tu kujustify mapungufu ya wenza wetu.

Asante
Ndo maana nakupendaga...
Nasisitiza wanaume sio wote wabaya kitabia, kuna wengine ukiwa nao burudani tu japo maudhui ya hapa na pale yapo..
Mi kiukweli namsifia tu bt sio kila kitu cha kuongea pia ni kuangalia Place n Time....sio eti naenda kupiga story saluni ndo ndoa za watu zinaharibika huko.... nina uhakika hanicheat...maombi yangu kwa Mungu yanamlinda
 
Kuna mke alikuwa anamshutumu binti mmoja kuwa anatembea na mumewe. Binti akaamua kutumia mbinu anazozojua kumpata kweli yule mume. Akampa mapenzi mazito mpaka jamaa akadata. Baadae akamwambia yule mume kuwa aliamua kwa kuwa mkewe alikuwa anamshutumu bila hatia. My take: mara nyingine wanawake wanasababisha majanga wenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom