Nop my dia
Wapo tofauti. ....hujakutana nae tu
he... kumbe umeolewa, hongera!!:third:
Sure
Huwezi eti kupiga story saluni za kumsifia mtu wako!
Salun zenyewe za bongo hiz cjui unaanzaje kukaa kupiga story lzm muwe mnafanana.....
Mi sioni shida kumsifia mtu wangu bt inategemea place and time!
Halafu kuna vya kuongea sio vya chumbani tena, hapo itakua too much!
Na ndio uzuri wa kujichanganya na watu mnaofanana...
Hata uongee nini hawawezi kulikuza...
Ila ukiwa na watu tofauti na wewe chochote uongeacho wanachukulia unaringa...na wanaanza kukuombea mabaya ili wakucheke...
sina maana kuwa tusiongee kabisa na watu tofauti na siye; ila ni kujua kipi cha kuzungumza na nani...
Sana sana salon nachoweza changia ni story za joti na magazeti ya udaku...si maisha yangu...wala ya mume wangu...
Mie kwa kwa kweli kelele za chura hazitanizuia kumsifia zombie, niibe nijifiche kusifia, mume naye niogope kumsifia kisa kuna pyschos wanataka kumkwiba kwa kunikomoa nisijisifie? Wamkwibe tu, tena akiwa zuzu wambebe mazima.
As long as mume anarudi home, am at peace na nitamsifia hadi nitakapoona otherwise.
Kuna workmate wangu pia alinishangaza, anaishi Sinza. Alinisimulia jinsi wanavyopanga kumwibia shost yao mume kisa anajisifia sana. Nikamuuliza, mkishamuiba mnapanga na kuivunja hiyo ndoa, wakasema hapana, tunamkomesha tu afunge mdogo. Kweli nilimuona ni pyscho tu. Kumkoa mke wa ndoa wa mtu mtu ni sawa na kuikomoa serikali, haikomoleki. Sema tu hili gonjwa ndio balaa.
Kwanza ukiona wanawake wanafuata mumeo, jua ulichagua aliyenona, na inafanya ndoa kuwa more exciting.
Mie kwa kwa kweli kelele za chura hazitanizuia kumsifia zombie, niibe nijifiche kusifia, mume naye niogope kumsifia kisa kuna pyschos wanataka kumkwiba kwa kunikomoa nisijisifie? Wamkwibe tu, tena akiwa zuzu wambebe mazima.
As long as mume anarudi home, am at peace na nitamsifia hadi nitakapoona otherwise.
Kuna workmate wangu pia alinishangaza, anaishi Sinza. Alinisimulia jinsi wanavyopanga kumwibia shost yao mume kisa anajisifia sana. Nikamuuliza, mkishamuiba mnapanga na kuivunja hiyo ndoa, wakasema hapana, tunamkomesha tu afunge mdogo. Kweli nilimuona ni pyscho tu. Kumkoa mke wa ndoa wa mtu mtu ni sawa na kuikomoa serikali, haikomoleki. Sema tu hili gonjwa ndio balaa.
Kwanza ukiona wanawake wanafuata mumeo, jua ulichagua aliyenona, na inafanya ndoa kuwa more exciting.
Afadhali hapa JF I can yap about my husband. Mazoea na story za salon sinaga.I do not like to discuss my marriage at all
Kongosho hapo kwenye red sina hakika sana
wengine wanaangalia tu kama ana mshiko wa kuchuna
Sidhani kama ni sera ya aliyenona ...
What more can i say zaid ya kuadmire the way unavyojielewa?
Hahaa. Asante.
Miss u deadly we.mwanamke dah
nipo nimejaa tele.
Kongosho hapo kwenye red sina hakika sana
wengine wanaangalia tu kama ana mshiko wa kuchuna
Sidhani kama ni sera ya aliyenona ...