Ladies ndani ya ndoa piteni hapa

Moyo wa mtu ni fumbo kwa wengine!!


kuna jirani yangu hapa alikuwa anamsifia sana mumewe yuko hivi mara yuko vile, wao wanamiliki Lodge picha linaanza wafanyakazi wa lodge wanagombana wao kwa wao kisa huyo mume kumbe kawapitia wote,


Mke kapewa taarifa kawatimua wote sasa hivi hadi anaona aibu sababu mtaa mzima umejua yuko kimyaaa!!


Haina maana yoyote kumsifia mume labda pale panapostahili na inategemea mko kwenye mazingira gani na watu wa aina gani!!


Angalizo angalia aina ya marafiki ulionao wakoje, wana muelekeo gani! si kila mtu anafaa kuwa rafiki na kuna saloon zingine hazifai kbsa kwenda kwa mtu anayejitambua!!
 

Very mature advice
 
Moyo wa mtu ni sawa na kichaka huwezi jua ndani yake kunani, nyoka, chatu ama nini tena masalon ndo wamama wenye ndoa wanapo ongea mambo ya ndoa zao .
What the hell it's better to shut your bowl off maana waweza kuwa wajichoresha tu
hizi salon na makundi makundi haya yana mambo kwa kweli
 
ni mbaya sana kumsifiaa au kumponda mume kwa maana dunia ya sasa sio

tuwe na kifua cha kutunza siri
 
Rule no 1: ndoa ni wawili marufuku kusimulia kuhusu mume wangu si saluni, si kwenye biashara wala popote

Rule no 2: maswala ya mahaba kati yangu na mume ni marufuku kusimulia

Rule no 3: weka mbali mumeo na mashosti

Rule no 4: know your husband

Nitarudi acha nikapike
 
Siwezi kujisifu nina mume bora au bf bora ... hawa viumbe hubadilika mara ... kama kama kuchanganya maji na rangi nyekundu acha kabisa....... akiwa mzuri tumia hiyo nafasi vizuri jua ubaya unakuja...

Ukiolewa utajisifu tu kwa kuwa mume... hata kama uwa tunabadlika ila mke ni mke tu anaheshma yake special
 

Asante
Ndo maana nakupendaga...
Nasisitiza wanaume sio wote wabaya kitabia, kuna wengine ukiwa nao burudani tu japo maudhui ya hapa na pale yapo..
Mi kiukweli namsifia tu bt sio kila kitu cha kuongea pia ni kuangalia Place n Time....sio eti naenda kupiga story saluni ndo ndoa za watu zinaharibika huko.... nina uhakika hanicheat...maombi yangu kwa Mungu yanamlinda
 
Hivi mimi NK kabisa nikapige story na wadada salon...?
Kunangwa kwingine ni kwa kujitakia...
(Know your class)

Na ukute hata mumewe hawamjui...
Ila kwa kuwa kajisifia wanataka kumrusha roho tu...

Mimi huwa sitaki hata zile service za kufuatana home...

Nyumbani kwangu si pa kila mtu kuingia na kutoka kama chooni...
 
Mmenikumbusha mama mmoja mumewe anafanya kazi TRA...
Basi ni gumzo la salon ninayotumia...

Wakianza kumsifia wanajua hata mshahara anaompa house girl wake...
Wanajua shule wanayosoma watoto wake...

Kazi kweli kweli...

Imagine mwenye kazi ni mumewe si yeye...

Lakini ana mapozi ya kujikweza na kutafuta wapambe...

Mengi yanachangia kwa wamama kuongea ongea na kila mtu mambo binafsi...
Kubwa ni elimu...

Hao ndio wanaofukuzisha waume zao kazi...maana TRA wengi mishe mishe...
 

Simply brilliant.kongosho
 
"Kizuri kula na mwenzio"?!!,...that's the dumbest thing I've ever heard!

Lakini sisi KE nao sometimes mh!, huko kwenye vijiwe vyetu Hakunaga vingine vya kuongea zaidi ya kuwaongelea hawa wanaojifanyaga miungu wadogo?!

And then kuna sifa na sifa jamani, yaani unamtangaza mmeo kisa kakusaidia kukata nyanya, sijui kitungulu...really people?!, I think that's supposed to come with a package?!, kwa nini usimfie vitu vya maana kama kuwa promoted kazini, au kama ame seal deal moja nziito, kimaendeleo zaidi tena kwa watu wa karibu cause I think it's more persona. Lakini haya mambo ya kuwaweka KE wenzetu chini na kuanza kuwahadithi mara oh!, mume wangu ananifikisha kitonga!, halafu ananipeleka kilimanjaro, halafu anarudi kinyumenyume, halafu anakatika mpaka chini!....seriously Ladies?!
 

I am.sure u know your class
I love yo mind
 

he... kumbe umeolewa, hongera!!:third:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…