Lachaz pub, Sinza Mori ni chimbo la wezi wa simu

Lachaz pub, Sinza Mori ni chimbo la wezi wa simu

Nmekuelewa mkuu
Ukienda pub usimuamini mtu jiaminini wenyewe kama mmenda washkaji tu
Sjui Kaja mtu hmjui mnapiga toli hamjuani hapo lazima atakulia timing tu .....mm nshaachaka kwenda bar maarufu na kubwa kama bia nakunywa dukani kwa mangi tu

Ova
 
Mzee baba...Mimi nmeanza kwenda lachaz wakati inafunguliwa napajua vizuri pale....Juzi wamemlamba hadi DJ Choka,na niiue biashara ya mwenye lachaz ili iweje wakt mm sina biashara ya mtindo huo?na sio uzembe wa mali zako Lachaz kilikua kijiwe cha wastaarabu huwez kukuta mtu kaibiwa wala gari kuibiwa vifaa kama bar za uchochoron zilivyo lakn nenda lachaz utanipa majibu(kama hata unapajua)
Hahahaaa..eti "kama hata unapajua" ! ingekuwa kwenda sana bar ni sifa ningekueleza mengi ila kwa vile haina tija kwangu jua tu walau kila ijumaa nipo pale na sijawahi poteza simu wala shilingi. I am a responsible drinker though.
 
Ni aibu sana kujiita wa ' Dar es Salaam ' halafu tena ukawa unaibiwa Simu Kizembe Kizembe tu. Jamani rudini tu kwenu huko Mashambani / Vijijini Kyaka Nkunde na Ikupilipa Nkoba na mtuachie wenyewe wenye huu mji wetu ambao tokea tuzaliwe hapa hapa ' downtown ' miongo mitatu na nusu iliyopita hatujawahi si tu kuibiwa bali hata tu ' Kuviziwa ' na Wezi, Vibaka na Majambazi na huwa mara kwa mara tunakatiza maeneo yao hayo hayo lakini badala ya kutuvamia na kutupora utasikia tu wanaamkia Shikamoo ' Braza ' GENTAMYCINE huku wakiwa wanatetemeka.
Kuibiwa hakuna cha kukaa mjini,kama hayajakukuta mshukuru Mungu,na usiombe yakakukuta ,ikiwezekana tena mate chini
 
Hahahaaa..eti "kama hata unapajua" ! ingekuwa kwenda sana bar ni sifa ningekueleza mengi ila kwa vile haina tija kwangu jua tu walau kila ijumaa nipo pale na sijawahi poteza simu wala shilingi. I am a responsible drinker though.
Its good to hear that..I was just like you!!ukienda this weekend chunguza utaona pamekua na movements nyingi tofauti na mwanzo na lachaz ilishajengeka ni sehem flan yakistaarab sio zile bar unaenda wallet umeishikiria mkononi
 
nliambiwa na mtu La chaz ni club ya wanaume mdebwedo..sijui ukweli na uongo wake
 
Kwa hali ilivyo sasa, baa nyingi sana zilizo maarufu nina wezi wakijichanganya na wateja, hali imekuwa ngumu. Ni kweli wahusika wakubwa ni wahudumu, na baunsas, kuwa makini sana na wahudumu na baunsas wanaokuwa wamesimama pembeni kama wakilinda usalama kumbe wanakula timing za simu. Wanakuibia ukilewa hasa wakija kusafisha meza wanakuja wahudumu wawili au watatu kukuchanganya.
 
Dahh lachaz pub kuna siku najiendea zangu kwenye kibarua changu lohhh nilipita hiyo njia lohh niliyoyaona asbh ile ptuuuuuu!!
 
MTeja chunga mzigo wako ...nivigumu mnooo kuibiwa kitu kama Simu ukiwa bar ..kama endapo hautokuwa umelewa mkuu"""

so punguza ulabu MZee baba "" utakuja kupoteza vitu vya MSingi mnooo zaidi hata ya hiyo Simu uliyoipoteza"""
 
Kwa hali ilivyo sasa, baa nyingi sana zilizo maarufu nina wezi wakijichanganya na wateja, hali imekuwa ngumu. Ni kweli wahusika wakubwa ni wahudumu, na baunsas, kuwa makini sana na wahudumu na baunsas wanaokuwa wamesimama pembeni kama wakilinda usalama kumbe wanakula timing za simu. Wanakuibia ukilewa hasa wakija kusafisha meza wanakuja wahudumu wawili au watatu kukuchanganya.
Yaani hali ipo kama ulivyoelezea hapo
 
Yaani hali ipo kama ulivyoelezea hapo
Naomba nikujulishe tu la chaz wizi hupo tangu haijawa la chaz na malaya na hibaka wapo hata kabla haijaitwaa lachaz so kinachotakiwa ni ww kuwa makini na pale hata kama hujalewaa unawezaa ibiwaa so cha muhimu ni kuwa mwangalifu
 
Back
Top Bottom