iGodmanhustler
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 609
- 337
Deleted
Ukitokea Meeda unavuka Shekilango Road then iko Upande wa Kushoto kama unaenda Wanyama Hotel/Johannesburg Hotel lakini kule hufiki,Hiyo bar iko upande gan ukitoka meeda?
Asantee mzeePole mkuu
Watoto wa Dar mnashinda kwenye vigodoro Pub mzijulie wapiiNi aibu sana kujiita wa ' Dar es Salaam ' halafu tena ukawa unaibiwa Simu Kizembe Kizembe tu. Jamani rudini tu kwenu huko Mashambani / Vijijini Kyaka Nkunde na Ikupilipa Nkoba na mtuachie wenyewe wenye huu mji wetu ambao tokea tuzaliwe hapa hapa ' downtown ' miongo mitatu na nusu iliyopita hatujawahi si tu kuibiwa bali hata tu ' Kuviziwa ' na Wezi, Vibaka na Majambazi na huwa mara kwa mara tunakatiza maeneo yao hayo hayo lakini badala ya kutuvamia na kutupora utasikia tu wanaamkia Shikamoo ' Braza ' GENTAMYCINE huku wakiwa wanatetemeka.
AsantePole sana my
Ahaha huyo sio mimiTatizo unalewa sana ...punguza gambe maana unajiover drink.... Juzi kati nimktuna na wewe unayumba yumba.
wezi wanawategeshea nyie mnaolewa kupita kiasi ila pole sana.
Mzee baba...Mimi nmeanza kwenda lachaz wakati inafunguliwa napajua vizuri pale....Juzi wamemlamba hadi DJ Choka,na niiue biashara ya mwenye lachaz ili iweje wakt mm sina biashara ya mtindo huo?na sio uzembe wa mali zako Lachaz kilikua kijiwe cha wastaarabu huwez kukuta mtu kaibiwa wala gari kuibiwa vifaa kama bar za uchochoron zilivyo lakn nenda lachaz utanipa majibu(kama hata unapajua)Isijekuwa ni mikakati ya kuua biashara za watu tu maana huyu jamaa kwa sasa naona mita ya sinza kawashika. Ukiwa mzembe na mali zako popote pale hata kama ni hotel gani au nyumbani kwako utaibiwa ulichonacho tu, unaenda bar ushalewa bado unaendelleza misifa ya kulaza simu mezani kwa nini wenye njaa wasipite naye? Tuambiane ni bar gani utaacha vitu kizembe watu waviangalie tu? Vibaka nao wanakuja bar kula bata wakishatoka kupiga kitaa kwa hiyo be sure popote unapokunywa nao wapo.
Jina ndio lilikua linanipa shida, nishapajua.. Pole mkuu!!Ukitokea Meeda unavuka Shekilango Road then iko Upande wa Kushoto kama unaenda Wanyama Hotel/Johannesburg Hotel lakini kule hufiki,
AsanteeJina ndio lilikua linanipa shida, nishapajua.. Pole mkuu!!
Lakin sio kwa kawaida kama tukio limekua likiwatokea wengi na siku za karibun tuu ..Kuibiwa sim pub AU kwenye mabar makubwa ni uzembe wako tu
Ova
Sehemu kama hizo majizi,wamalay,matapeli wote lazima wawepo kuwinda watu kikubwa ni kuwa makini usilewe sana,usiache Sm mezani,usikae na watu usiyo wajuaLakin sio kwa kawaida kama tukio limekua likiwatokea wengi na siku za karibun tuu ..