Laana ya mwanamke

Mkuu uzi wako una cha kujifunza...swali nje ya uzi...kahtaan ni id yako nyingine au!
 
Machungu ninayopitia anajua mungu pekee, na mwanangu àliepo tumboni, ndio màana naomba lolote baya juu yake nae aumie, japo haitofikia maumivu yangu hata theluthi
Pole
 
Mambo yako yalikuwa ni lazima yaende hovyo baada ya kuachana nae kwa kuwa demu alikuwa ana pesa na wewe ulukuwa unaitegemea pesa yake ila humpendi sasa wewe mario lazima ulivyomuacha uchumi wako utayumba tu teh teh kiding bro ila unaambiwa chozi la mwanamke likidondoka akikulilia ujuwe kuna madhara makubwa sana hapo baadae ila sio kila mwanamke achana na hawa wanawake korofi, ila ni vyema umejifunza mkuu...
 
Sawa sawa mkuu....yule mwanamke mpaka leo hii yupo na tunaonana kila siku kwa kuwa bado tunaishi jilani ingawa si karibu kama mwanzo.... sasa hivi ameshaolewa na mimi naiheshimu sana ndoa yake.....na tupo kama marafiki....ingawa kiuchumi mambo ni mazuri sana lakini sijawahi kumlilia shida hata siku moja ingawa hali yangu ni mbaya sana...nashukuru kupitia kikazi changu naweza kukidhi mahitaji yangu....
 
Ohhhhh kumbe alishaolewa mkuu, aisehhh nikupe pole sana,nahisi inakuathiri mpaka leo mkuu,huyo manzi alikuwa perfect for marriage mkuu,
 
Sikuwahi kumpenda hata robo....ndio maana nilifurahia harusi yake...
Ohhhhh kumbe alishaolewa mkuu, aisehhh nikupe pole sana,nahisi inakuathiri mpaka leo mkuu,huyo manzi alikuwa perfect for marriage mkuu,
 
Hakuna kitu kinauma kama kupotezewa Muda, Ex wangu hadi leo pamoja na kuwa na kazi nzuri maisha yake hayaeleweki, kwenye mahusiano ndo usiseme, nabado napiga goti kwa Mungu siku atakayorudi kuomba msamaha kwakunikosea ndo amwachilie.
Hakuna kitu kama hicho... Laan ipo kwa baba na mama tu na sio nying'au yeyote.. Ww ukifikir ex wako kayumba kwasababu ya kukuacha ww unajidanganya bure.. Ngoja maisha yageuke upande wa pili ndio utaona.
 
Ni kweli usemayo,hakuna kitu kinauma kama kupotezewa muda jamani, umejitunza na kuwakataa wengine wenye nia afu mtu anakuacha hewani gafla,uwiii.... Mungu niepushie isinitokee tena
Hahahaha inakusubir tena mbaya zaid utakuta umemtambulisha hadi kwenu
 
mhh kama Kuna ka ukweli ndani yake aisee...
 
Laaana... Sidhani ...
Kuyumba kimaisha hizo ni feedback..cha kufanya ni kutafuta sources ila sio hio ya uzinzi
 
Kama ni hivyo ningeshapata laana nyingi sana... lakini nipo poa na mambo yangu yananyoka tuu...
 
Ni kweli usemayo,hakuna kitu kinauma kama kupotezewa muda jamani, umejitunza na kuwakataa wengine wenye nia afu mtu anakuacha hewani gafla,uwiii.... Mungu niepushie isinitokee tena
...labda kuna definition nyingine ya kujitunza. Hamjitunzi miaka hii bwana!!
 
Word! wasemavyo vijana wengine.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…