kaseva
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 473
- 301
Duh! Jikusanyeni ukumbini wite wote , peleka mbinguni kwa nguvu, humu sii size yenuKwa mtindo huu ni bora mfanye kitu kingine muachane tu na Maisha maana yana gundu nanyi.
Duh! Jikusanyeni ukumbini wite wote , peleka mbinguni kwa nguvu, humu sii size yenuKwa mtindo huu ni bora mfanye kitu kingine muachane tu na Maisha maana yana gundu nanyi.
Kuachana na maisha ina maana wafe!Kwa mtindo huu ni bora mfanye kitu kingine muachane tu na Maisha maana yana gundu nanyi.
Lakini mimi nawapongeza hili ni jukwaa lao sahihi hapa JF kuliko jukwaa lingine lolote.Aisee kubishana na watu humu is a serious waste of time and energy, watu wenyewe walianza la kwanza 1999??? Duh!
99 watu tunasubiri Y2K nyie ndio mnaanza shule ya msingi??!!! Ndio kwanza mmegraduate kindergarten na wengine ndio kwanza mmegraduate potty! With all due respect though poleni kwa majanga wanangu.
Ebu waeleze hawa watoto wanaojiona wana mvi na busara nyingi. Tunabishana na watu tuliowachambisha na kuwafundisha wenyewe jinsi ya kufuta masaburi cha!
wewe dogo acha upuuzi, mtu mzima anaejitambua na kujielewa hawezi kuandika upumbavu kama wa kwako huo,kama wewe ni mtu mzima ni nini kilichokufanya uchangie thread ya watoto?Ukikuwa utaacha.
Kwa mtindo huu ni bora mfanye kitu kingine muachane tu na Maisha maana yana gundu nanyi.
Refer comment yangu ya kwanza, wastage of time and energy kubishana na watoto kama nyie hamjajua hata kuosha makwapa sawa sawa, kanyonye ukojoe ulale.wewe dogo acha upuuzi, mtu mzima anaejitambua na kujielewa hawezi kuandika upumbavu kama wa kwako huo,kama wewe ni mtu mzima ni nini kilichokufanya uchangie thread ya watoto?
wapo watu wazima wenye akili zao timamu wametulia tuli.
kumbe nabishana na binti uliyezaliwa 1985,mimi huo mwaka uliozaliwa ndio nilikuwa nipo darasa la pili.Refer comment yangu ya kwanza, wastage of time and energy kubishana na watoto kama nyie hamjajua hata kuosha makwapa sawa sawa, kanyonye ukojoe ulale.
yaani kweli tupu,nilikuwa naliongelea hilo juzi tu hapa,sisi wa huu mwaka tuna bahati mbayaUmepost fact tu mkuu...class of gunduZ
Una zarau na siyo dharauAisee kubishana na watu humu is a serious waste of time and energy, watu wenyewe walianza la kwanza 1999??? Duh!
Ukikuwa=ukikuaUkikuwa utaacha.
Hahahha kaka na wewe mhanga kumbe...mimi mhanga wa adv.mathsDah tunabahat mbayaaaaaaaaa