mbona mondi kavuta wa umri wakoAisee kubishana na watu humu is a serious waste of time and energy, watu wenyewe walianza la kwanza 1999??? Duh!
HATA KAMA UMEKUWA NA UNA UMRI MKUBWA .... UNAVYO DHIHAKI WATU WENYE UMRI MDOGO KUWA HAWAWEZI KUJADILI KITU NA WEWE NAKUSHANGAA SANA MKUBWA MWENZANGU...... INAWEZEKANA UMEKUWA ILA AKILI YAKO HAIJAKUWA YAANI HAIJAPEVUKA ....... NYIE NDIO MNAKATAA USHAURI WA WATOTO WENU KISA MMETANGULIA KUONA JUA... UNAWEZA KULIONA JUA NA USILIELEWE...... UNAWEZA KUWA UMESOMA ILA HAUJAELIMIKA....Refer comment yangu ya kwanza, wastage of time and energy kubishana na watoto kama nyie hamjajua hata kuosha makwapa sawa sawa, kanyonye ukojoe ulale.
wewe dogo acha upuuzi, mtu mzima anaejitambua na kujielewa hawezi kuandika upumbavu kama wa kwako huo,kama wewe ni mtu mzima ni nini kilichokufanya uchangie thread ya watoto?
wapo watu wazima wenye akili zao timamu wametulia tuli.
HATA KAMA UMEKUWA NA UNA UMRI MKUBWA .... UNAVYO DHIHAKI WATU WENYE UMRI MDOGO KUWA HAWAWEZI KUJADILI KITU NA WEWE NAKUSHANGAA SANA MKUBWA MWENZANGU...... INAWEZEKANA UMEKUWA ILA AKILI YAKO HAIJAKUWA YAANI HAIJAPEVUKA ....... NYIE NDIO MNAKATAA USHAURI WA WATOTO WENU KISA MMETANGULIA KUONA JUA... UNAWEZA KULIONA JUA NA USILIELEWE...... UNAWEZA KUWA UMESOMA ILA HAUJAELIMIKA....
si bora hao na je waliozaliwa huo mwaka!Aisee kubishana na watu humu is a serious waste of time and energy, watu wenyewe walianza la kwanza 1999??? Duh!
Ukikuwa=ukikua
mbona mondi kavuta wa umri wako
haibadili ulichoandika.....imeshakugonga kwa utosi ngwaaaaaaaa......... imekuingiamoHaya mkubwa mwenzao uliepevuka akili na kuelimika nimekusikia, now rudi ulikotokea coz comment yako haibadilishi nilichoandika!
haibadili ulichoandika.....imeshakugonga kwa utosi ngwaaaaaaaa......... imekuingiamo
Acha kichwa ngumu wewe, siku nyingine usikosee tena.Cha muhimu umeelewa.
si bora hao na je waliozaliwa huo mwaka!
Acha kichwa ngumu wewe, siku nyingine usikosee tena.
Kweli mkuu umri ni namba. Siku hata wao wanakimbilia serengeti boysClueless14 kukuwa ni kujielewa,umri ni namba tu.huku mtaani kuna watu wazima lakini hawajakuwa.kwa hiyo mkuu usione hatari kudebate na wadogo zako(huoni bungeni wabunge vijana wanavyowachachafya wazee)hata kule kwenye jukwaa la mahusiano tunaweza kukupa ushauri mzuri tu lol!
Umri ni namba, tunaangalia una nn kichwani. Si unaona wenzako wanavikimbilia viserenget boys.Hao kundi lingine wanajijua ni madogo kuliko hawa walikuwa wanakula kamasi darasani 99 halafu wanajiona umri wa akina lowassa
naona unamuimbia serengeti boyUmeshamaliza kunyonya? Acha tukubembeleze ulale...Ateteteeee ateteee kasimama peke yakeee bila kushikiliwaaa teteteeetetete, tuimbe abcdefghijk.....ajigijigijigijigijigiiii...tattatata..