spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,527
Che Guavara
CUBA 1 hio
slow slow
CUBA 1 hio
slow slow
Kazi ya sanaa ina maana nyingi mkuu, huyo anayekata mti siku ya kwanza mimi nilikisia ni slowslowNapitia comments hapa, haki ya nani ukija uniambie jukwaa hili ni la great thinkers nakutandika ngumi. Hakuna great thinker wa kutafsiri katuni hiyo kiboya namna hiyo......eti Samia?!!!! Hivi kwa akili ndogo tu hiyo katuni imemzungumzia Samia kweli?!!!
Akili yangu ya darasa la tatu inaniambia hv; mti ulikuwa unakatika (pengine na mkataji huyo huyo) na ulikuwa unakaribia kufilia mbali maana mkataji alikuwa anakaribia kiini na ungeanguka. Ghafla mpumbavu flani mbishi, anayejifanya anajua, ameacha shina anakimbilia juu matawini na kuanza kukata matawi......mbaya zaidi, anakata kule kwenye tawi alilokalia.
Wanaomuunga mkono, ambao kwa muktadha uliopo wa kisiasa tunaweza kusema ni chadema (haya mataputapu ya lissu, hususani ya humu jukwaani), nao ndo wapumbavu kuliko huyo lofa anayekata. Kwanza wamechoka (njaa, tone tone haiendi), pili akili hawana kabisaa kwani hawawezi hata kupiga hesabu (calculate) na kuweza kukadiria wapi hilo lofa lao litaangukia walidake lisife au kuumia. Hao wanaotarajiwa kumdaka ni mfano hai wa hawa nyumbu waliojaa humu, Kila sekunde Wanashusha threads za kumsifu huyo kimbaumbau wao aliyekosa mwelekeo bila kujua muda si muda atakuwa anagoagala chini.
Huu ni uchambuzi wa darasa la tatu.
Bila shakaChe Guavara
CUBA 1 hio
slow slow
Polepole amevaa mabawa na combati zenye nembo ya Che Guevara (mwanamapinduzi wa kijamaa), amevaa mabawa tayari kwa kupaa kuelekea Cuba, kwa sababu mti unakatwa ili adondoke wamnyake
Hapo chini ya mti wenyewe mbona kama umeanza kukatwa?
Kuna muda nahisi huyo anayekata hapo juu ni Katele, unaona huo mkato alivochongaKakata akakimbilia Juu, utaanguka wajeda wanamsubiri
Wangekua hawana akili kiasi hicho msingewafungia kinyemela kufanya siasa na kumuweka mwenyekiti wao Gerezani kwa kesi za mchongoNapitia comments hapa, haki ya nani ukija uniambie jukwaa hili ni la great thinkers nakutandika ngumi. Hakuna great thinker wa kutafsiri katuni hiyo kiboya namna hiyo......eti Samia?!!!! Hivi kwa akili ndogo tu hiyo katuni imemzungumzia Samia kweli?!!!
Akili yangu ya darasa la tatu inaniambia hv; mti ulikuwa unakatika (pengine na mkataji huyo huyo) na ulikuwa unakaribia kufilia mbali maana mkataji alikuwa anakaribia kiini na ungeanguka. Ghafla mpumbavu flani mbishi, anayejifanya anajua, ameacha shina anakimbilia juu matawini na kuanza kukata matawi......mbaya zaidi, anakata kule kwenye tawi alilokalia.
Wanaomuunga mkono, ambao kwa muktadha uliopo wa kisiasa tunaweza kusema ni chadema (haya mataputapu ya lissu, hususani ya humu jukwaani), nao ndo wapumbavu kuliko huyo lofa anayekata. Kwanza wamechoka (njaa, tone tone haiendi), pili akili hawana kabisaa kwani hawawezi hata kupiga hesabu (calculate) na kuweza kukadiria wapi hilo lofa lao litaangukia walidake lisife au kuumia. Hao wanaotarajiwa kumdaka ni mfano hai wa hawa nyumbu waliojaa humu, Kila sekunde Wanashusha threads za kumsifu huyo kimbaumbau wao aliyekosa mwelekeo bila kujua muda si muda atakuwa anagoagala chini.
Huu ni uchambuzi wa darasa la tatu.
Tuambie kuhusu hiyo katuni, au Leo haijaenda kwetu?!!!!Wangekua hawana akili kiasi hicho msingewafungia kinyemela kufanya siasa na kumuweka mwenyekiti wao Gerezani kwa kesi za mchongo
Na kule chini ushabomolewa kiasKuna muda nahisi huyo anayekata hapo juu ni Katele, unaona huo mkato alivochonga
Eeh hii kweli, ila ni hatari na aibu kutenda haya kwa mtu ambaye ni mwanamke....sisi tunayo Imani kwamba kiumbe namba moja mwenye hofu ya kuua au kudhulumu anakuwaga mwanamke....inatufanya tuwe na wasiwasi na jinsia yake yule Bwana😛Yuko tayari kuua arudi kwenye kiti. Kile kiti kwa katiba yetu mbovu wewe ni alpha na omega. Majaji ,CDF, Spika na wengine wote wana kusujudu hata ikiwezekana kuvunja sheria.