Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Nipo hapa stand ya mabasi ngudu-kwimba,kuna mkutano wa chadema,unaöngozwa na Wenje,letisia nyerere,na mtoto wa mashishanga yule mkuu wa mkoa wa zaman wa mwanza,watu wanaipenda chadema hadi noma
Letisia Nyerere si alikwenda NCCR ama nimesahau?