Watanzania tumerogwa siyo bule!
Siku zote mkaguzi wa hesabu za Serikali (CAG) mara zote ukaguzi wake katika sector ya Bandari amekuwa akisisitiza ufanisi uongezwe ili mapato yaongezeke ukilinganisha na Bandari zingine, lakini hakuwahi kusema kuna hasara iliyotokana na uendeshaji wa Bandari yetu,
Swali kwa serikali, kushauriwa ili kuongeza ufanisi katika Bandari yetu, jibu ni kubinafisisha?
Tuseme tumesahau yoote yaliyofanyika kipindi cha Aliyekuwa Rais awamu ya Tatu Benjamin Mkapa?
Tulibinafisisha viwanda vyoote na baadhi ya mashirika ya serikali, tulipata faida ipi licha ya ahadi nyingi kwamba tungepata faida kubwa kwenye biashara hiyo!
Tulishuhudia hasara kubwa kiasi kwamba washirika wa biashara hiyo walipoondoka, tulijikuta tumepoteza viwanda' vingi na mhimu katika nchi yeti kiasi ambacho mpaka sasa tumebaki kuvitamani tu viwanda vyetu vingelikuwepo kungelikuwa vile na vile!
Je! viongozi wetu hawawi na kumbukumbu ya hayo? wandishi wa habari kina Pascal Mayalla mko wapi kurejea hizi biashara haramu zilivyowahi kuigharimu nchi yetu?
Tunaongozwa na mihemko na ushabiki kwenye mambo mhimu
Kubinafisisha bandari zetu! Inaweza kusiwe kosa, lakini Je! Ni lini na wapi, mkataba kama huu uliowahi kufanywa huko nyuma ukaipa serikali yetu faida?
Tukumbuke! Kubinafisisha vichocheo vya uchumi katika nchi, ni kuji riski kama nchi
Ndani ya miaka hiyo ya ubinafisishaji Bandari, wataalam wetu wamechambua na kujiridhisha vema, kuona faida na hasara zake?
Ni wafanya kazi wangapi wataachoshwa kazi hapo, familia ngapi zitaathirika na ubinafisishaji huo?
Naweza kusema kwamba, huwenda sisi huwa tunatamani na kupenda mambo makubwa na kwa haraka ili hali upeo na uwezo wetu ni mdogo kuliko tunachokitamani!
Ilishindikanaje kupata faida kwenye kubinafisisha viwanda na leo inawezekanaje tupate faida ili hali utendaji wetu bado haujabadirika
Wenye kutaka 10% bado wapo! Wenye mkono wao kwenye mikataba kama hii wapo!
Kama tu suala la mafisadi limetushinda kushughurikia! Nina hakika, hasara ya kubinafisisha Bandari itakuwa kubwa kuliko tunavyoaminishwa!
Siku zote mkaguzi wa hesabu za Serikali (CAG) mara zote ukaguzi wake katika sector ya Bandari amekuwa akisisitiza ufanisi uongezwe ili mapato yaongezeke ukilinganisha na Bandari zingine, lakini hakuwahi kusema kuna hasara iliyotokana na uendeshaji wa Bandari yetu,
Swali kwa serikali, kushauriwa ili kuongeza ufanisi katika Bandari yetu, jibu ni kubinafisisha?
Tuseme tumesahau yoote yaliyofanyika kipindi cha Aliyekuwa Rais awamu ya Tatu Benjamin Mkapa?
Tulibinafisisha viwanda vyoote na baadhi ya mashirika ya serikali, tulipata faida ipi licha ya ahadi nyingi kwamba tungepata faida kubwa kwenye biashara hiyo!
Tulishuhudia hasara kubwa kiasi kwamba washirika wa biashara hiyo walipoondoka, tulijikuta tumepoteza viwanda' vingi na mhimu katika nchi yeti kiasi ambacho mpaka sasa tumebaki kuvitamani tu viwanda vyetu vingelikuwepo kungelikuwa vile na vile!
Je! viongozi wetu hawawi na kumbukumbu ya hayo? wandishi wa habari kina Pascal Mayalla mko wapi kurejea hizi biashara haramu zilivyowahi kuigharimu nchi yetu?
Tunaongozwa na mihemko na ushabiki kwenye mambo mhimu
Kubinafisisha bandari zetu! Inaweza kusiwe kosa, lakini Je! Ni lini na wapi, mkataba kama huu uliowahi kufanywa huko nyuma ukaipa serikali yetu faida?
Tukumbuke! Kubinafisisha vichocheo vya uchumi katika nchi, ni kuji riski kama nchi
Ndani ya miaka hiyo ya ubinafisishaji Bandari, wataalam wetu wamechambua na kujiridhisha vema, kuona faida na hasara zake?
Ni wafanya kazi wangapi wataachoshwa kazi hapo, familia ngapi zitaathirika na ubinafisishaji huo?
Naweza kusema kwamba, huwenda sisi huwa tunatamani na kupenda mambo makubwa na kwa haraka ili hali upeo na uwezo wetu ni mdogo kuliko tunachokitamani!
Ilishindikanaje kupata faida kwenye kubinafisisha viwanda na leo inawezekanaje tupate faida ili hali utendaji wetu bado haujabadirika
Wenye kutaka 10% bado wapo! Wenye mkono wao kwenye mikataba kama hii wapo!
Kama tu suala la mafisadi limetushinda kushughurikia! Nina hakika, hasara ya kubinafisisha Bandari itakuwa kubwa kuliko tunavyoaminishwa!