Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Hii ni serikali ya kishetani na kilaghai sana.... ndio maana watz hawaitaki kabisaa.....Jamaa David Mwanyika baada ya kubanwa, akamgeuka Tundu Lissu ambaye alimsikitikia kwa makosa ya kubambikiwa! Lakini serikali ikaunganisha na uongo wa kishika uchumba, kwamba Lissu anatetea mabeberu. Serikali yenyewe ikaingia makubaliano na Barrick Gold na sasa Mwanyika ni mgombea ubunge kwa tiketi ya ccm.