win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 4,677
- 14,845
oyaaaa mambo hayo😅😅Tulia, nakupenda wewe.
oyaaaa mambo hayo😅😅Tulia, nakupenda wewe.
Njoo pm tuyajenge 😎oyaaaa mambo hayo😅😅
Mimi ndio hunisalimii SEMEJA
Salama alekoNjoo pm tuyajenge 😎
umepotea siku mingi ila nakukumbuka sameja wanguMimi ndio hunisalimii SEMEJA
yani huyu🤣🤣 hebu nikae kimyaNjoo pm tuyajenge 😎
Itakua tunapishana shift humu JF😊umepotea siku mingi ila nakukumbuka sameja wangu
Takbir ⚔️Salama aleko
au tunatembelea nyuzi tofauti ndo maana😅Itakua tunapishana shift humu JF😊
😁😊🔥🔥au tunatembelea nyuzi tofauti ndo maana😅
Haaahaa 😂 😆 umenyanyua JAMBIA KAMA OSMAN BAYTakbir ⚔️
Kuchinja tuu 😂Haaahaa 😂 😆 umenyanyua JAMBIA KAMA OSMAN BAY
Weka humu🚮🚮 mdogo wanguEh kumbe nna mke 😎
ShesRise_1 Mbona hii taarifa ya kukuoa sina
Nakupenda pia mdada wangu ❤️Weka humu🚮🚮 mdogo wangu
Ila nakupenda ❤️
Hongera sana mkuu 👏👏Miaka 6 iliyopita nilikuja DSM kutafuta maisha kutoka mkoa fulani nikiwa na elimu ya form 4 tu, basi nikawa napiga mishemishe huku najisomesha nakaa kwa washikaji tu. Hatimae naliaga jiji la Dsm nikiwa mtumishi wa government. Usijikatie tamaa Mungu yupo
Sina neno, igeni mfano wa mtoa mada na msijikatie tamaa.sisy Binti wa zamani Seran tieni neno huku
Naunga mkono hoja , kuna mda unapaswa kukata tamaaKwanini ukate tamaa?? Matatizo yapo tu itafute Raha kwa nguvu zote!!
Ukishakata tamaa Nini kinafuata?Naunga mkono hoja , kuna mda unapaswa kukata tamaa
Unaachana na wazo linakupotezea mda bila matokeo chanyaUkishakata tamaa Nini kinafuata?
Unawashauri Nini wanaokata tamaa na kutamani kujiua wakufe waachane na shida za Dunia?Unaachana na wazo linakupotezea mda bila matokeo chanya