Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,706
- 36,161
Kwenye kubet kule umakini na akili ndizo zinahitajika. Bahati inaaply kwa 05% tu.Mbona umesahau ku bet..?
Ina maana coaster hakuweza kuzisimamia vyema ama?Wewe mkamalia wa kawaida tu, uliyefilisiwa na Casino na kuacha huwezi ndiyo unakuja kujifariji hapa.
Bora uwe mteja kuliko mkamalia manake ninamjua mzee mmoja aliwahi shinda milioni Mia mbili Pale Le Grande akaenda mpaka USA akanunua Costa za biashara.
Baada ya miezi mitano karudi kuwa ombaomba na mpaka Sasa anashinda pale Cassino kama kapagwa Fulani hivi.
Nina experience nimewahi kuwa dealer Cassino kubwa mjini nazijua akili za wakamalia, ninachowapendea Ni Mastermind Sana, ukicheza deal na Mkamalia una asilimia 89 za kufanikiwa.
Yaani aliziuza pesa akaenda kucheza Tena kamali akiwa na Imani atashinda Tena. Huo muda wa kusimamia autoe wapi!!??Ina maana coaster hakuweza kuzisimamia vyema ama?
Hivi mkuu machimbo ulienda mwenyewe kuchimba au inakuwaje kuwaje ?😀😀! Mimi nilifika machimboni nna buku(1000)...madon wakaanza "zalau"zao anatumwa mtu unaambiwa uende uelekezwe kibra..nikawa najiapiza kama mchawi vile Mungu sitak hizi kebehi nazozipata...9mths na mm nikawa naitwa Boss..ni ww tu na akili yako
Mimi ukweli nilienda kisa nna njaa...nilifika nikaanza kuwa mpishi wa watendakazi...later nikajiona wananidharau sana vijana wale .nikaanza ongozana nao maduarani kusoma kitabu kuhusu dhahabu the rest ikawa histry..Hivi mkuu machimbo ulienda mwenyewe kuchimba au inakuwaje kuwaje ?
Mtu kama mimi nikitaka kuwekeza kwenye uchimbaji mdogo wa madini naanzia wapi
Kitabu tena.maduarani kusoma kitabu
Uusome mchezo..kule kuna mambo mengi ya kufanya mzee babaKitabu tena.
Sawa mkuu ila sijatosheka na majibu yako
Hebu eleza vizuri mkuu wengine hatuna tunalojua kabisa. Yani hatuna hata ABCs sasa ukieleza kama unaelezea wataalamu inakuwa tunakosa chakujifunza.Mimi ukweli nilienda kisa nna njaa...nilifika nikaanza kuwa mpishi wa watendakazi...later nikajiona wananidharau sana vijana wale .nikaanza ongozana nao maduarani kusoma kitabu kuhusu dhahabu the rest ikawa histry..
Ww nenda kakae hata 3mths unasoma mchezo...usikubal kuombwa hela sijui mfanye kitu gani kataa .utapigwa daily
Kidogo unaweza usielewe ...ukiwa na akili safi nenda tu huko kakae na wenyeji ujifunze mambo ya dhahabu na mazaga zaga ya huko...!Hebu eleza vizuri mkuu wengine hatuna tunalojua kabisa. Yani hatuna hata ABCs sasa ukieleza kama unaelezea wataalamu inakuwa tunakosa chakujifunza.
Yaani unaishi huna big plan ahead? How jmn😀Maisha ukiwa na malengo yanachanganya
Toka nimeanza kuishi bila malengo mambo yangu safi
Yaani unaishi huna big plan ahead? How jmn