mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Hataki tume huru ije nchini
Kilio/madai ya Tume Huru ya Uchaguzi siyo agenda sahihi ya kunishawishi mimi mpiga kura kumchagua kiongozi anayefaa bali ni fikra/dhana potofu ya mgombea dhaifu kutaka ushindi.Mhn! Hoja fikirishi hii!
Mgombea anapaswa kunadi Sera zake ambazo wapiga kura wataamini zinaweza kuondoa kero za Kijamii, Kisiasa na Kiuchumi kuliko za kiongozi aliyeko madarakani.
Kwa mfano wa mpira wa miguu, refa anaweza kuchangia katika ushindi pale tu timu itakuwa imeonyesha uwezo wa kusakata kambumbu, lakini hawezi kuibeba timu dhaifu