Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,154
- 11,560
Ndugu zangu hii hali ya lugha ya malkia mbona inanchanganya sana.
Unakuta kwenye interview msahiliwa msomi kabisa, ata introduction tu, jasho inatoka na mpaka sauti inapotea kabisa, na haitoki ng'oo. Hawezi kujieleza kiingereza anatetema tu msomi huyu wa chuo..
Lakini msahiliwa huyuhuyu akitoka kwenye interview, kule ambapo lugha ya malkia ilikata sauti, akienda kutupiamo gambe kadhaa. Yaani leta kama tulivyo, round tatu hazifiki lugha ya malkia inachukua mkondo na nafasi yake inatiririka kavizuri kama vilea amezaliwa mamtoni.. One for the road kama zote...
Na hapa kwenye gambe hata yule hajaenda shule anaporomosha lugha ya malkia kwa sauti madaha ,mikogo na slangs kama zote hata kama amekunya pombe mshenzi huko mitaani..
Ni nini siri ya hii kitu gambe, mbona nyingine zimezalishwa humuhumu nchini, zingine ni za kienyeji?
Unakuta kwenye interview msahiliwa msomi kabisa, ata introduction tu, jasho inatoka na mpaka sauti inapotea kabisa, na haitoki ng'oo. Hawezi kujieleza kiingereza anatetema tu msomi huyu wa chuo..
Lakini msahiliwa huyuhuyu akitoka kwenye interview, kule ambapo lugha ya malkia ilikata sauti, akienda kutupiamo gambe kadhaa. Yaani leta kama tulivyo, round tatu hazifiki lugha ya malkia inachukua mkondo na nafasi yake inatiririka kavizuri kama vilea amezaliwa mamtoni.. One for the road kama zote...
Na hapa kwenye gambe hata yule hajaenda shule anaporomosha lugha ya malkia kwa sauti madaha ,mikogo na slangs kama zote hata kama amekunya pombe mshenzi huko mitaani..
Ni nini siri ya hii kitu gambe, mbona nyingine zimezalishwa humuhumu nchini, zingine ni za kienyeji?