Yupo FasterKwani mjapan kasemaje?
Kama ni mrefu sana kata kibini ongezea bodi juu kidogo ili kichwa kitoshe au kubana bajeti unaweza toboa tundu kichwa kitoke inje halafu unavalia na helmenti wakati unaporndesha!aaaaah.mbona unanivunja moyo mkuu,na u tall huu katanifaa kwel
Kama ni mrefu sana kata kibini ongezea bodi juu kidogo ili kichwa kitoshe au kubana bajeti unaweza toboa tundu kichwa kitoke inje halafu unavalia na helmenti wakati unaporndesha!
.bola nitafute noa.hapo tena basiKama ni mrefu sana kata kibini ongezea bodi juu kidogo ili kichwa kitoshe au kubana bajeti unaweza toboa tundu kichwa kitoke inje halafu unavalia na helmenti wakati unaporndesha!
Chukua usiangalie watu angalia nafsi yako kitu roho inapenda
Kiukwel nampango Wa kununua mashine
Asikutishe huyo....bola nitafute noa.hapo tena basi
Shukrani chiefzipo zenye 4wd.zinahimili mazingira magumu tofauti na gari nyingi ndogo.
Shukrani Boss kwa mchangoNi nzuri sana hiyo mkuu, kama ulivyosema kwa shopping, kubeba mizigo ya wastani kama vile chakula toka sokoni au shambani, kubeba mbegu kama wewe ni mkulima hutojutia
Karibu!Nikae nipate moja mbili tatu
Karibu Mkuu,hii gari nasikia ipo fit sana kwa mishe mishe nimekuwa interested sana.Niko mbiaoni kuinunua hii gari kwa ajili ya mishemishe nahc huu uzi utanifaa
Kwamba roho ya pakaGari zina kula shuruba Kigoma hizo wao wanazitumia kama daladala zina roho ya paka hizo gari kwa jinsi njia za Kg zilivyo wenyewe wanaziita mchomoko.
Shukrani MkuuThis is my car.
The best small vehicle you can ever get
Shukrani chiefProbox kalivyo kadogo kuosha unachanganya na vyombo!
Halafu kubadili tairi unafanya kunyanyua na mkono mmoja unapachika tairi, unapoendesha vile kibini ilivyo fupi ukiwa mrefu sana inabidi upinde shingo au utoe kichwa nje ili kisiguse kibin,
Kiufupi probox haina stress ingawa taili na rim zake ni nyembamba sana kama za spea taili!
NI GARI NZURI ACTUALLY
Nahisi hii mashine imekaa sana kimkakatiKankonko to nyakanazi, kakonko to kibondo, kibondo to mvugwe, mvungwe to makere, makere to kasulu bado kule manyovu...!! Shughuli yke n hatari hzo njia ukinunua haice utalia
HaswaaProbox ni kama ina chumba na sebule sio kwa urefu ule.
Shukrani Chief!Nunua pro box succeed tx g package hutojuta mkuu
ndio bossMkuu hebe ichambue kidogo uzuri wake
Probox ni kama ina chumba na sebule sio kwa urefu ule.
Kabisa MkuuHizo ni gari za miche miche, common kule Kenya na huku Tz ni kule Kigoma vijijini na Tarime.
Yaani unaweza kutumia kama gari ya kutembelea au pickup!