popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,609
Duh!
HerushingoView attachment 1704308
HerushingoView attachment 1704308
Mkuu hizo gari kwa mishe hizo za kubena abiria kwa siku roughly kinaweza ingiza shilingi ngapi?Ni Kweli Kigoma Kwenda Manyovu, Kasulu Kwenda Manyovu, Kasulu Kwenda Makele
Serengeti Kwenda Tarime, Utakuta Zinamwaga Moto Rough Road Kama Mgeni Ukiifuata Unaangusha Gari
Unaweza kuniambia kwa siku hizo gari zinaweza kuwa zinaingiza sh ngapi kwa siku?Gari zetu Tarime Nyamongo hakuna stress full burudani.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ngoja Nitamuuliza Jamaa Yupo KasuluMkuu hizo gari kwa mishe hizo za kubena abiria kwa siku roughly kinaweza ingiza shilingi ngapi?
20000 mpaka 50000Unaweza kuniambia kwa siku hizo gari zinaweza kuwa zinaingiza sh ngapi kwa siku?
Ok ninacho Cha kwangu dsm Kuna mtu anapiga nako mishe za Uber wacha nikiache tu. Huko kitateseka Sana.20000 mpaka 50000
Labda kama unaendesha mwenyeweOk ninacho Cha kwangu dsm Kuna mtu anapiga nako mishe za Uber wacha nikiache tu. Huko kitateseka Sana.
Kuna mtu aliniambia eti unaweza pata Hadi laki kwa siku?
Eee kama ya vitz unaijuaHivi Toyota Probox inayo tachometer ya kupima Engine RPM?
Unaweza kuweka ka picha maana nimechunguza sijaelewaEee kama ya vitz unaijua
Pia loliondo to kenyaHizo ni gari za miche miche, common kule Kenya na huku Tz ni kule Kigoma vijijini na Tarime.
Yaani unaweza kutumia kama gari ya kutembelea au pickup!
Gari gani mkuu,na ina hali gani,na anaiuzajeKuna jamaa yetu anayo gari huu mwaka wa pili sasa haijauzwa.