Kwenu wataalamu, ni upi uzuri wa gari hii aina ya Probox?

Niliona geita moja inasoma kua imetembea km400,000 mwenye nayo aliilangua kwa mwingn yy ni wa 3 kuimiliki Nikashangaa sana.
 
Ni Kweli Kigoma Kwenda Manyovu, Kasulu Kwenda Manyovu, Kasulu Kwenda Makele

Serengeti Kwenda Tarime, Utakuta Zinamwaga Moto Rough Road Kama Mgeni Ukiifuata Unaangusha Gari
Mkuu hizo gari kwa mishe hizo za kubena abiria kwa siku roughly kinaweza ingiza shilingi ngapi?
 
20210606_173109.jpg

Watu ni nga
 
Back
Top Bottom