Hebu ongeza nyama Zaidi hapa mkuu hayo majembe yenye hydroric ni yapiSi lazima uanze na treka kama mfuko unaruhusu gari kama landarover, land cruiser au yeyeto yenye four wheele drive inalima vizuri TU kwa kutumia majembe ya mfumo wa hydroliki KAZI ya gari kuvuta jembe kama tela then KAZI ya hdyroliki ni kupush jembe lizame chini kwa level uitakayo iwe ni kulima au kupalilia.
Mkuu ufafanuzi zaidi, bei ya gari ikoje?Si lazima uanze na treka kama mfuko unaruhusu gari kama landarover, land cruiser au yeyeto yenye four wheele drive inalima vizuri TU kwa kutumia majembe ya mfumo wa hydroliki KAZI ya gari kuvuta jembe kama tela then KAZI ya hdyroliki ni kupush jembe lizame chini kwa level uitakayo iwe ni kulima au kupalilia.
Mkuu ufafanuzi zaidi, bei ya gari ikoje?Si lazima uanze na treka kama mfuko unaruhusu gari kama landarover, land cruiser au yeyeto yenye four wheele drive inalima vizuri TU kwa kutumia majembe ya mfumo wa hydroliki KAZI ya gari kuvuta jembe kama tela then KAZI ya hdyroliki ni kupush jembe lizame chini kwa level uitakayo iwe ni kulima au kupalilia.
Gari za kizaman Bei ni maelewano mengi watu wameyapaki.Mkuu ufafanuzi zaidi, bei ya gari ikoje?
Huyo mwamba ni nani na , nampataje?Tafuta wakulima wazoevu maana ukiingia kichwa kichwa utaliwa.
Kama unaweza agiza Ulaya kule angalau Wana uaminifu Tena agiza shambani kabisa au agents wa kule.
Au mchek Kriss Lukosi akutafutie UK japo nae ni mswahili na mswahili rule no moja aaminiki.
Au nenda South Africa kwa wakulima unachukua kitu used safi unapakia kwenye meli ndani ya wiki unapokea Hapo DP world kwenye maji.
Vip na Massey za dubai na oman?Hongera mkuu kwa kuwaza uwekezaji mkubwa
Tanzania kunawauzaji wa matrekta toka uk ila bei inakuwa juu kidogo tofaut na ukiagiza mwenyewe nje hasa Uk.
165 ni kifaa sana mkuu.
Unaweza onana na nawakala waaminifu wakuagizie japo kwangu sina uzoefu sana ila miaka ya nyuma kodogo ilikuwa m25 unapata 165 au 185 ilosimama bila jembe.
Kwasasa sipo karibu na hizo mambo sana ila jembe zuri ni toka huko huko haya ya pakistan si kitu yanapinda yakigonga kitu kigumu
Angalizo kama umeamua kuchukua mashine ya kazi achana na hizo massey za pakistani
Nakutakia kila la heri
Mkuu hizi sijafuatilia sana ila kana zinatoka uingereza hizo ni mashine haswa ila kama zimetengenezewa tofauti na hapooo sina hakika nazo sana.Vip na Massey za dubai na oman?
Riverside ubungo wamejaa dealers WA used,na Massey za Pakistan,ilala boma yupo dealer WA used.Mitaa gani?, na nawezaje pata mawasiliano yao?
Zipo poa asiwe china tuMkuu hizi sijafuatilia sana ila kana zinatoka uingereza hizo ni mashine haswa ila kama zimetengenezewa tofauti na hapooo sina hakika nazo sana.
MAssey ni Uk
Google utampata.Huyo mwamba ni nani na , nampataje?
Hujafikiria vzuri, trekta ni multi purpose sio kulima tu, kuna kuvuruga, kumwaga dawa, kumwaga mbolea kimwagilia maji, kuzungusha mashine. Zote hizo kazi trekta inafanyqSi lazima uanze na treka kama mfuko unaruhusu gari kama landarover, land cruiser au yeyeto yenye four wheele drive inalima vizuri TU kwa kutumia majembe ya mfumo wa hydroliki KAZI ya gari kuvuta jembe kama tela then KAZI ya hdyroliki ni kupush jembe lizame chini kwa level uitakayo iwe ni kulima au kupalilia.
Hata gari vyote hivyo inafanya.Hujafikiria vzuri, trekta ni multi purpose sio kulima tu, kuna kuvuruga, kumwaga dawa, kumwaga mbolea kimwagilia maji, kuzungusha mashine. Zote hizo kazi trekta inafanyq
Gari haiwezi kuvuruga, kumwaga mbolea Wala dawa mzeeHata gari vyote hivyo inafanya.
Ni utundu wako.
Kinachotoa nguvu ni injini