Kwenu wanawake/ akina mama

Kwenu wanawake/ akina mama

Mbona unazidi kupanic mkuu! Hatuna ugomvi na nyinyi, kitendo cha wanaojiita wapigania haki za wanawake kumute ndiyo roho mbaya yenyewe.
Siwezi panic lkn ulichoandika nj pumba. Ungesema kwanini wapigania haki wanawake wamemute sio kugeneralize wanawake wana roho mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwaiyo unasema mtu akisaliti auwawe...au ke au me?...HUWEZI KUsema roho mbaya Ni ya mwanamke kwasababu...hiyo elfu hamsini nayo ilimuuma sidhani Kama alikusudia kumua

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake MUNGU anawaona. Ona sasa hata kwenye mauaji mnasaidiana. Hapo unamaanisha hata ungekuwa wewe,ungemfanyia unyama huo yule binti mdogo,(kuua)sababu ya elfu 50 inauma?. Unampiga huku unarecord?. Unamnyima chakula huku umemfungia,ukisema hujakusudia kuua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake MUNGU anawaona. Ona sasa hata kwenye mauaji mnasaidiana. Hapo unamaanisha hata ungekuwa wewe,ungemfanyia unyama huo yule binti mdogo,(kuua)sababu ya elfu 50 inauma?. Unampiga huku unarecord?. Unamnyima chakula huku umemfungia,ukisema hujakusudia kuua?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake ni wa kuishi nao kwa taadhari kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom