Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,495
- 3,253

we nae vp apa ni uzi wa Wanawake
we nae vp apa ni uzi wa WanawakeWe unaonaje?
Wanawake wengi wapo kimya??? Una uhakika au unabwabwaja tu ndugu. Muwe mnaongea kitu cha uhakika..mitandaoni wengi waliolizungumzia na kulikemea ni wanawake.
Hebu nionyeshe mwanaume aliyelizungumzia hili tukio kwa kukemea nimjue.
.
.
Acheni chuki za kijinga against wanawake. Binadamu yoyote yule anaweza kuwa na roho mbaya. Ina maana hakuna matukia ya kutisha yaliyotendwa na wanaume. Nyie mnajiona malaika sana..kwa lipi?
PUMBAVU ZENU WOTE WENYE MTAZAMO KAMA WAKO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapenda kukizana na dunia Mama
Huo ni mtazamo wako. Baki naoUnapenda kukizana na dunia Mama
Utaweza Sasa ??
Mtazamo harisi ni upi Sasa Mama
Hakuna mtazamo halisi. Kila mtu atabaki na mtazamo wake babanguMtazamo harisi ni upi Sasa Mama
Sawa Mama
Tufanye ndo hivyo unavyosemaSawa Mama
ila napenda kujua mtazamo wako ni upi?
Mimi nasema Wewe Una penda kukinzana na Dunia. Wewe unasemaje?
what's wrong with you dude? why are you so hateful toward women? SHAME ON YOU AND THAT KIND OF THINKING!!! Hakuna kinachokutofautisha na hao wauaji sababu umejaa moyo wenye chuki kuu dhidi ya wanawake. I pray you find healing.Mpaka kufikia hatua hiyo mwanaume kumchoma mwanamke na gunia za mkaa,sababu kubwa ni unyama huo huo wa mwanamke,usariti. Lakini fikiria yule anamuua sababu ya elfu 50. Unamuacha mwanamke mwenzio ukimfungia ndani afe kwa njaa,baada ya kumpiga sana. Wanawake ni zaidi ya unyama uliofanyika rwanda 1994. Wa mwanza kamuua mtoto wake wa kumzaa,masikini asie na hatia hata moja yule mtoto wa miaka 9. Unyama wa aina gani huo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana bhanaa
Yes ni binti yanguHapana bhanaa
Haiwezi kua hivyo Mama
.
.
Naona umemueka binti ako mwengine Dp