Kwenu wanawake/ akina mama

Kwenu wanawake/ akina mama

Kitu kizuri ni pesa tu kama unanihakikshia unakuja nayo nikufungulie fasta.
Habari za niambie...niambie sizitaki PM.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah pesa ni moja ya vitu vizur
Obviously it will be included huko
Siwez kuja na Nambie Nambie We wangu banhaaa
.
.
Alaf Tunajicholesha hapa kwa wadau wanasoma nifungulie
 
Mwanamke mwingine huko mwanza amemnyonga hadi kufa mtoto wake wa kumzaa wa miaka 9. Kisa mapenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
...Mimi naona huyu ndio kubwa la Majambazi!
Yaani umnyonge mtoto wako mwenyewe uliyezaa na mwanaume mmoja ili mwanaume mwingine akuone we hujatumika sana akuoe na aanze freshi yeye???
Hiyo ni akilii, matope???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom