Kwenu wanawake/ akina mama

Kwenu wanawake/ akina mama

Usiseme wanawake wana roho mbaya mashetani sema huyo mwanamke, kwani wanaume mangapi wanafanya? Watu wamelisemea sana labda simu yako ya kitochi haikuwa hewani, huyo muuaji alikuwa na mihemko yake maana alimkimbiza mwenye mke hivyo alikuwa ana jimwambafy, na wakati anampiga huyo mwanaume alikuwepo sasa kama huyo mwanaume alikuwa na akili si angemzuia!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mama yake aliyemzaa..ni shetani..sasa huyu mlete uzi kazaliwa na mama shetani yeye atakuwa nani?

mtoto wa nyoka ni nyoka.. .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio wapo Mashoga wanaoliwa na wanawake. Unasemaje ?
Hivi unaelewa hata unachoongelea au unaongea tu ilimradi umeweka neno "wanawake"?

Mwanamke na mwanaume hiyo ndio inayotakiwa, sasa wakikulana hapo shida iko wapi?
 
Mpaka kufikia hatua hiyo mwanaume kumchoma mwanamke na gunia za mkaa,sababu kubwa ni unyama huo huo wa mwanamke,usariti. Lakini fikiria yule anamuua sababu ya elfu 50. Unamuacha mwanamke mwenzio ukimfungia ndani afe kwa njaa,baada ya kumpiga sana. Wanawake ni zaidi ya unyama uliofanyika rwanda 1994. Wa mwanza kamuua mtoto wake wa kumzaa,masikini asie na hatia hata moja yule mtoto wa miaka 9. Unyama wa aina gani huo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo unasema mtu akisaliti auwawe...au ke au me?...HUWEZI KUsema roho mbaya Ni ya mwanamke kwasababu...hiyo elfu hamsini nayo ilimuuma sidhani Kama alikusudia kumua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is sad,....tusinyoosheane vidole hili wote wanaume na wanawake tuko responsible kulikemea...
 
Aliyepata fursa ya kusoma na kuelewa hii makitu anipe ufafanuzi..
 
Back
Top Bottom