Kwenu wanawake/ akina mama

Kwenu wanawake/ akina mama

Na huyo bwana yake alikuwa pembeni tena ni askari, hata huyo mwanaume hana akili mkewe aliondoka sababu na huyo muuaji kwahiyo yote yalikutana majuha matupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiseme wanawake wana roho mbaya mashetani sema huyo mwanamke, kwani wanaume mangapi wanafanya? Watu wamelisemea sana labda simu yako ya kitochi haikuwa hewani, huyo muuaji alikuwa na mihemko yake maana alimkimbiza mwenye mke hivyo alikuwa ana jimwambafy, na wakati anampiga huyo mwanaume alikuwepo sasa kama huyo mwanaume alikuwa na akili si angemzuia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
PUMBAVU ZENU WOTE WENYE MTAZAMO KAMA WAKO.

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]

Hivi hauwezi kueleza your point of view na kueleweka bila ya kutumia lugha ya matusi?

Nilitegemea uje na facts, kudispute yale niliyoyasema badala yake naona accusations " acheni chuki za kijinga against women"

Kwa tabia hiyo yako uliyoonyesha ya kuleta vioja badala ya kujenga hoja unazani nitakuwa nimekosea nikisema women are emotional and not rationale.
 
Huwa wanasubiri mwanamke akosee wapate pa kuanzia.
Mauaji ya kinyama na ya kutisha hapa duniani % kubwa yamefanywa na wanaume.

Anionyeshe hata mwanamke mmoja ambae badala ya kulaani kile kitendo alimsifia yule mwanamke then tuanzie hapo.
Ni Basi tu yaani mtu asipomuongelea mwanamke haoni raha. Angeishia kuekezea tatizo na kukemea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Roho mbaya Haina jinsia...hao wanaume Wanao ua wake zao na kuwachoma na gunia la mkaa unawwzungumziaje...ROHO MBAYA HAINA KWAO

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka kufikia hatua hiyo mwanaume kumchoma mwanamke na gunia za mkaa,sababu kubwa ni unyama huo huo wa mwanamke,usariti. Lakini fikiria yule anamuua sababu ya elfu 50. Unamuacha mwanamke mwenzio ukimfungia ndani afe kwa njaa,baada ya kumpiga sana. Wanawake ni zaidi ya unyama uliofanyika rwanda 1994. Wa mwanza kamuua mtoto wake wa kumzaa,masikini asie na hatia hata moja yule mtoto wa miaka 9. Unyama wa aina gani huo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante sana kwa kutujumuisha wanawake wote kwenye hili, alitenda ukatili ndiyo! Hilo ni kweli na hakika!!

Kemea uovu na ukatili lakini wewe hii ni chuki kabisa dhidi ya wanawake wote sema ulikosa platform ya kutoa machungu yako!!
Ila ni sawa leo utalala salama dukuduku umelitoa.


Kwa niaba ya wanawake wakatili naomba radhi, mtusamehe na Mungu uturehemu tumekutenda dhambi, tunaingamiza dunia, tumemwaga damu isiyo hatia 😭😭
 
Ahsante sana kwa kutujumuisha wanawake wote kwenye hili, alitenda ukatili ndiyo! Hilo ni kweli na hakika!!

Kemea uovu na ukatili lakini wewe hii ni chuki kabisa dhidi ya wanawake wote sema ulikosa platform ya kutoa machungu yako!!
Ila ni sawa leo utalala salama dukuduku umelitoa.


Kwa niaba ya wanawake wakatili naomba radhi, mtusamehe na Mungu uturehemu tumekutenda dhambi, tunaingamiza dunia, tumemwaga damu isiyo hatia 😭😭
Hekima na busara zako zizidi sana kwako.
 
Wanawake wengi wapo kimya??? Una uhakika au unabwabwaja tu ndugu. Muwe mnaongea kitu cha uhakika..mitandaoni wengi waliolizungumzia na kulikemea ni wanawake.
Hebu nionyeshe mwanaume aliyelizungumzia hili tukio kwa kukemea nimjue.
.
.
Acheni chuki za kijinga against wanawake. Binadamu yoyote yule anaweza kuwa na roho mbaya. Ina maana hakuna matukia ya kutisha yaliyotendwa na wanaume. Nyie mnajiona malaika sana..kwa lipi?

PUMBAVU ZENU WOTE WENYE MTAZAMO KAMA WAKO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ww inaonekana ni ibilisi kabisa
 
Wanawake wengi wapo kimya??? Una uhakika au unabwabwaja tu ndugu. Muwe mnaongea kitu cha uhakika..mitandaoni wengi waliolizungumzia na kulikemea ni wanawake.
Hebu nionyeshe mwanaume aliyelizungumzia hili tukio kwa kukemea nimjue.
.
.
Acheni chuki za kijinga against wanawake. Binadamu yoyote yule anaweza kuwa na roho mbaya. Ina maana hakuna matukia ya kutisha yaliyotendwa na wanaume. Nyie mnajiona malaika sana..kwa lipi?

PUMBAVU ZENU WOTE WENYE MTAZAMO KAMA WAKO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja..na . ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante sana kwa kutujumuisha wanawake wote kwenye hili, alitenda ukatili ndiyo! Hilo ni kweli na hakika!!

Kemea uovu na ukatili lakini wewe hii ni chuki kabisa dhidi ya wanawake wote sema ulikosa platform ya kutoa machungu yako!!
Ila ni sawa leo utalala salama dukuduku umelitoa.


Kwa niaba ya wanawake wakatili naomba radhi, mtusamehe na Mungu uturehemu tumekutenda dhambi, tunaingamiza dunia, tumemwaga damu isiyo hatia
Kwakweli atalala salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom