Kwenu wanawake/ akina mama

Kwenu wanawake/ akina mama

Wanawake wengi wapo kimya??? Una uhakika au unabwabwaja tu ndugu. Muwe mnaongea kitu cha uhakika..mitandaoni wengi waliolizungumzia na kulikemea ni wanawake.
Hebu nionyeshe mwanaume aliyelizungumzia hili tukio kwa kukemea nimjue.
.
.
Acheni chuki za kijinga against wanawake. Binadamu yoyote yule anaweza kuwa na roho mbaya. Ina maana hakuna matukia ya kutisha yaliyotendwa na wanaume. Nyie mnajiona malaika sana..kwa lipi?

PUMBAVU ZENU WOTE WENYE MTAZAMO KAMA WAKO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema kwa suala la kutesa wadada wa kazi..wanawake mnaongoza aisee..siongelei kuua....kama vipigo na matusi na kunyanyaswa hawa dada wanapitia sana..sema ndo hivyo....
Hata huyu huyu dada asingefariki angeendelea tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wengi wapo kimya??? Una uhakika au unabwabwaja tu ndugu. Muwe mnaongea kitu cha uhakika..mitandaoni wengi waliolizungumzia na kulikemea ni wanawake.
Hebu nionyeshe mwanaume aliyelizungumzia hili tukio kwa kukemea nimjue.
.
.
Acheni chuki za kijinga against wanawake. Binadamu yoyote yule anaweza kuwa na roho mbaya. Ina maana hakuna matukia ya kutisha yaliyotendwa na wanaume. Nyie mnajiona malaika sana..kwa lipi?

PUMBAVU ZENU WOTE WENYE MTAZAMO KAMA WAKO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmelizungumzia wapi hili swala??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante sana kwa kutujumuisha wanawake wote kwenye hili, alitenda ukatili ndiyo! Hilo ni kweli na hakika!!

Kemea uovu na ukatili lakini wewe hii ni chuki kabisa dhidi ya wanawake wote sema ulikosa platform ya kutoa machungu yako!!
Ila ni sawa leo utalala salama dukuduku umelitoa.


Kwa niaba ya wanawake wakatili naomba radhi, mtusamehe na Mungu uturehemu tumekutenda dhambi, tunaingamiza dunia, tumemwaga damu isiyo hatia 😭😭
Duh
 
Wanawake wengi wapo kimya??? Una uhakika au unabwabwaja tu ndugu. Muwe mnaongea kitu cha uhakika..mitandaoni wengi waliolizungumzia na kulikemea ni wanawake.
Hebu nionyeshe mwanaume aliyelizungumzia hili tukio kwa kukemea nimjue.
.
.
Acheni chuki za kijinga against wanawake. Binadamu yoyote yule anaweza kuwa na roho mbaya. Ina maana hakuna matukia ya kutisha yaliyotendwa na wanaume. Nyie mnajiona malaika sana..kwa lipi?

PUMBAVU ZENU WOTE WENYE MTAZAMO KAMA WAKO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi wamelizungumzia hilo swala ??
Taasisi gani ??
Tuwekee Link tuone wenyewe ??

 
Usipanic, huo ndiyo ukweli! Hao akina wapigania haki za wanawake mbona wamemute?
Wanawake wengi wapo kimya??? Una uhakika au unabwabwaja tu ndugu. Muwe mnaongea kitu cha uhakika..mitandaoni wengi waliolizungumzia na kulikemea ni wanawake.
Hebu nionyeshe mwanaume aliyelizungumzia hili tukio kwa kukemea nimjue.
.
.
Acheni chuki za kijinga against wanawake. Binadamu yoyote yule anaweza kuwa na roho mbaya. Ina maana hakuna matukia ya kutisha yaliyotendwa na wanaume. Nyie mnajiona malaika sana..kwa lipi?

PUMBAVU ZENU WOTE WENYE MTAZAMO KAMA WAKO.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom