Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Habari zenu JF.
Nami nimeona niwawekee hili humu ili niwaone wenzangu wasiokubali yawapite!!
Ni vipi utaweza kugawia namba 80 kwenye makundi manne...ambapo kundi la kwanza namba hiyo (i)uigawie kwa 3.
Kundi la pili namba utayoipata (ii)uijumlishe kwa 3:
Kundi la tatu namba utayoipata (iii) uizidishe kwa 3.
Kundi la nne ndio la mwisho...namba utayoipata (iv)uitoe kwa 3.
Malengo:
Ili kila jawabu utalolipata liwe sawa sawa na kundi jingine.(majibu yafanane).
Nawakilisha!.
Nami nimeona niwawekee hili humu ili niwaone wenzangu wasiokubali yawapite!!
Ni vipi utaweza kugawia namba 80 kwenye makundi manne...ambapo kundi la kwanza namba hiyo (i)uigawie kwa 3.
Kundi la pili namba utayoipata (ii)uijumlishe kwa 3:
Kundi la tatu namba utayoipata (iii) uizidishe kwa 3.
Kundi la nne ndio la mwisho...namba utayoipata (iv)uitoe kwa 3.
Malengo:
Ili kila jawabu utalolipata liwe sawa sawa na kundi jingine.(majibu yafanane).
Nawakilisha!.