FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,064
- 40,725
Hili suala tunarudia kuwarekebisha kila siku, lakini hamkomi, sasa naomba TCRA na uongozi wa chuo mkichukulie hatua kituo hiki kinachofanya kosa hili kila siku, aliendaa hiyo habari aende jela kwa angalau miaka 2 au faini ya walau milioni 6 ili iwe fundisho kwa wengine, wanakera sana!
==================================
UPDATE: WAMEREKEBISHA; Habari ya muda huu ya saa mbili usiku, wamerekebisha title na kuandika ''CHUO KIKUU ARDHI'
==================================
UPDATE: WAMEREKEBISHA; Habari ya muda huu ya saa mbili usiku, wamerekebisha title na kuandika ''CHUO KIKUU ARDHI'