Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Dah, yaani nipo kwene basi from Moro na hapa JF ndo napunguza stress kabsaa, nimeshtuka tupo Kibaha! hebu lete ka thread kengine sio ka MALARIA SUGU nataka vitu vitamu, siasa hapana maana mawaziri woote ni vimeo tu kama yule aliesema majiko ya samaki ferry yafungwe maana moshi unafika ikulu kwa jamaa hadi anashindwa kula kuku na bata