magomeni
Ukisaza ina maana wewe una tamaa na unachukuwa usivyoweza kuvimaliza. Ndo hao kwenye sherehe utakuwa kajaza sahani hadi juu halafu anakula kiduchu na kuacha... Sio ustaarabu... chukuwa unachoweza kukimalizaTMK hakuna kusaza
Huko mtakuwa mnakula toileti pepaMchamba wima.
Mansesee
Tegeta
Duh..Kwenu noma, lakini mko vizuri kwenye borne marrow