Kwenu ni wapi??

Kyooma

JF-Expert Member
Sep 20, 2013
224
98
Wewe unaishi wapi?
 

Attachments

  • 1441452_700222826662970_179266726_n.jpg
    1441452_700222826662970_179266726_n.jpg
    48.2 KB · Views: 347
Mbagala.... Mi nishalipia kila kitu halafu vingine niviache nooooo.... Kama kweli mnadhani kubakisha ndo kunataja maeneno mnakoishi... BASI LIPIENI HALAFU MUONDOKE BILA KULA MLICHOLIPIA
 
TMK hakuna kusaza
Ukisaza ina maana wewe una tamaa na unachukuwa usivyoweza kuvimaliza. Ndo hao kwenye sherehe utakuwa kajaza sahani hadi juu halafu anakula kiduchu na kuacha... Sio ustaarabu... chukuwa unachoweza kukimaliza
 
sa nibakize ili iweje?kwetu twamaliza hadi kucha...nini mfupa wewe!
 
Back
Top Bottom