Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 17,148
- 26,483
Mwanaume unaishi na mwanamke kimapenzi, mara baada tu ya kuingia chuo kikuu kutoka kwenu Ushetu.
Mwanaume , huyo mwanamke akifa ukiwa naye anazikwa kwao, maana si mkeo bali ni mzinzi mweznio.
Mwanamke , ukiumwa utakuja kusalimiwa na wazazi wako kwa mzinzi mwezio ama utasema ulikuwa unaishi mwenyewe?
Haijalishi miaka mtakayoishi, mmoja wenu akichepuka, si kosa wala dhambi bali anaendeleza alichokianzisha na ukimfumania huna haki ya kuulizia maana si mkeo, ni rfiki yako wa kimapenzi.
Mwanaume , huyo mwanamke akifa ukiwa naye anazikwa kwao, maana si mkeo bali ni mzinzi mweznio.
Mwanamke , ukiumwa utakuja kusalimiwa na wazazi wako kwa mzinzi mwezio ama utasema ulikuwa unaishi mwenyewe?
Haijalishi miaka mtakayoishi, mmoja wenu akichepuka, si kosa wala dhambi bali anaendeleza alichokianzisha na ukimfumania huna haki ya kuulizia maana si mkeo, ni rfiki yako wa kimapenzi.