Kwenda Mecca & Madina kutalii

Kwenda Mecca & Madina kutalii

Wacha kashfa na maneno ya kikuma wewe malaya kama huna ushauri mzuri kwa wenzio bora kaa kimya mshenzi wewe hata viongozi wako wanajua kama hizo ni sehemu takatifu unaongea nini pumbavu wewee kaa kimyaaaa mbwa wewe
matusi yote uliyoyataja yawaendee familia yako kila wakipumua .... Elezea utakatifu uliohuko umepagawa na matusi wewe..
 
Mitakatifu? Umechemka mkuu maeneo makame hayawezi kuwa matakatifu... Kuna vimbunga Sana huko na jangwa eneo kubwa joto ni balaa.... Kuna kafara za watu wengi wengi muhimu ukisikia kundi la watu wamekufa ndipo uende utakuwa salama hao kila mwaka kafala za damu ya watu lazima.. Kuna nchi zimezuia raia wao wasiende na lazima uzikwe huko huko... Cha ziada huko ni chemchem za Abraham ya Zamzam... Hiyo nchi Ina masharti magumu sana na watu weusi huesabika. Ni watumwa so kuwa makini wakikuhusudu unanyang'anywa passport unafanyishwa Kazi za ndani utalia mwenyewe na ukileta ugomvi unanyongwa hadharani.
Bado kuna wajinga kama wewe....unaitaj dushe
 
Ungeenda kwa mgongo wa hija kupitia vikundi vya waislam kwa bajeti hio ingetosha kabisa,,
Ila kwenda wewe kama wewe inategemea unataka kukaa mda gani!, kama ni muislam c uende ukafanye Umra?!
Visa ni bure kwa anaehiji
 
Mitakatifu? Umechemka mkuu maeneo makame hayawezi kuwa matakatifu... Kuna vimbunga Sana huko na jangwa eneo kubwa joto ni balaa.... Kuna kafara za watu wengi wengi muhimu ukisikia kundi la watu wamekufa ndipo uende utakuwa salama hao kila mwaka kafala za damu ya watu lazima.. Kuna nchi zimezuia raia wao wasiende na lazima uzikwe huko huko... Cha ziada huko ni chemchem za Abraham ya Zamzam... Hiyo nchi Ina masharti magumu sana na watu weusi huesabika. Ni watumwa so kuwa makini wakikuhusudu unanyang'anywa passport unafanyishwa Kazi za ndani utalia mwenyewe na ukileta ugomvi unanyongwa hadharani.
Kinachokusumbua ni ukafiri wako tu si kingine
 
Wacha kashfa na maneno ya kikuma wewe malaya kama huna ushauri mzuri kwa wenzio bora kaa kimya mshenzi wewe hata viongozi wako wanajua kama hizo ni sehemu takatifu unaongea nini pumbavu wewee kaa kimyaaaa mbwa wewe
Mkuu kutukana ni dhambi.......
 
Watu mbona hamuishi vituko? nibebe Mawe ya nini sasa na mimi naenda kutalii?
 
Nani amekwambia? Watanzania tunapenda sana kusikia habari za vijiweni.


Ni kweli na ni malekezo kutoka kwenye Quraan tukufu, ambae asie muislam si ruhusa kuingia Mji mtukufu wa Makka ..na ukiwa unatokea sehemu yeyote ukifika mahali uaona kuna kibao kimeandikwa "Muslims" na kingine "Non Muslims" hapo ndio inakuwa mwisho wa mtu asie muislam kuingia... ni mambo ya kiimani na ni vema kuyaheshimu!
 
Wacha kashfa na maneno ya kikuma wewe malaya kama huna ushauri mzuri kwa wenzio bora kaa kimya mshenzi wewe hata viongozi wako wanajua kama hizo ni sehemu takatifu unaongea nini pumbavu wewee kaa kimyaaaa mbwa wewe

Si katika sifa za muungwana muislam ... nimefurahi umeomba radhi! chunga ulimi wako! ni kipande cha nyama chenye kuponza wengi sana ! Mwenye ez Mungu akujaze Hikma na akusameh na ajaalie ulimi wako uongee mema na mazuri yanayomfurahisha Mwenye ez Mungu na waja wake !
 
Karibu sana Makkah Al Mukarama chakula usijali hata kama huna pesa unapiga mloo. Hotel usisumbuke pia unaweza nawe lala hapo hapo we chukua tu zile taulo zako jifunike. Aal MADINAT AL MUNAWARA ni vile vile. Kama utataka hotel ziko kutokana na uwezo wako. Chumba kuanzia $30 mpaa $5000
 
Acha ukuma wewe mkuu atakua huyo mshamba tu asiejielewa
Mkuu hilo tusi sikustahili, nilichomuambia mdau ni kutoa yote aliyonayo moyoni kwani qurani inazungumza ya kuwa waliyoyaficha kwenye mioyo yao ni makubwa mno kuliko wanayoyadhihirisha.

Sasa sijajua ni kiaje nimengia kwenye radar zako za matusi
 
Back
Top Bottom