Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 10,884
- 18,824
Wakuu kweme ni matunda gani? Yana faida gani na wapi yanalimwa Tanzania?
Tajiri wa kigamboni Mimi Dodoma mhamiaji tu.🙄🙄![]()
Mkweme - Wikipedia, kamusi elezo huru
sw.m.wikipedia.org
Yapo sana dodoma au Fake P nakosea 😀😃😃 na pia ni dawa haya matunda
![]()
WANANCHI DODOMA WAVUTIWA NA TUNDA LA KWEME BANDA LA NELSON MANDELA
fullshangweblog.co.tz
😀😃😃😃 Ilo jicho ulivyoweka juu na jua hili huku kigamboni walahi unaniita hamu 😎😎😍Tajiri wa kigamboni Mimi Dodoma mhamiaji tu.🙄🙄
Nayapenda sanaWakuu kweme ni matunda gani? Yana faida gani na wapi yanalimwa Tanzania?
View attachment 3194970
Inakuaje tajiri jua linakushenyenta.? 🙄 Kuna kitu hakijakaa sawa mahali😀😃😃😃 Ilo jicho ulivyoweka juu na jua hili huku kigamboni walahi unaniita hamu 😎😎😍
Nipo baharini huku napunga upepo jicho lako nimelipenda sana 😉😎Inakuaje tajiri jua linakushenyenta.? 🙄 Kuna kitu hakijakaa sawa mahali
Bandari kwioo.Nipo baharini huku napunga upepo jicho lako nimelipenda sana 😉😎
Kweme zinalimwa Kilimanjaro na hutumika kutengeneza mafuta ya kula kama ya karanga.
😉😃😀Bandari kwioo.
Haya upo wapi 78, Stop center, Rolo Yard, kipindupindu, Majahazini, mitaa ya Bargage. 🤣🤣 Umejichanganya
SahihiNi aina ya nuts
Yanalimwa sana huko upareni
Yanatumika kama kiungo cha mboga kama unavyotumia karanga
Nzuri sana kuungia samaki